Matatizo yapo huku mtaani kuna miradi ya uzoaji takataka imeshakuwa Keri maana kwa mwezi watu wanakusanya zaidi ya milioni 10 lakini mradi wenyewe kwa mwezi ni laki 4 tuu. Ukiuliza hizo milionis nyingine zinakwenda wapi hakuna jibu. Hii ndio nchi ya Tanzania ya Mama
Mi nafikiri itakuwa kama ilivyofanya wizara ya viwinda biashara na masoko kipindi hicho, baadae ikawa ikawa ni wizara ya viwanda na biashara, ile masoko ikawa idara na watendaji wake wanaendelea kama kawaida.
Hata hii itakuwa hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.