marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 964
- 1,689
Kesho ndio ile fainali ya EUROPA kati ya Manchester United na Villa Real, moja ya vitu vilivyo nishangaza ni kocha mstaafu wa manchester united kusafiri na timu wakielekea kwenye fainali hyo maana yake hata mazoezini atakuwa na timu!
Sasa je, hii ndio umaanisha Ole ni kocha kivuli pale Manchester?
Ferguson karudi Manchester united kinyemera kwa mgongo wa Ole?
Sasa je, hii ndio umaanisha Ole ni kocha kivuli pale Manchester?
Ferguson karudi Manchester united kinyemera kwa mgongo wa Ole?