Recent content by Tinno

  1. T

    Constitution.

    I am a nationalist in its true colours ;however when it comes to constitution I envy the Kenyans.They passed through a worst and violent political crisis and yet they have a produced an excellent constitution.Share with me what others say regarding Kenyan constitution.I will quote in extenso...
  2. T

    Katiba Mpya Au Njia ya kupata Katiba Mpya

    Fortunately I have read it all and I know all the shortcomings.What we are fighting is a constitution which can create a playing field which will make it possible to remove ccm but ccm parliament is burying bombs in the very field which we want to pass/play.This is very possible because they...
  3. T

    Katiba Mpya Au Njia ya kupata Katiba Mpya

    Naomba msaada jamani.Nina changanyikiwa kuhusu utata uliopo sasa kuhusu Katiba.Kubwa lilopo mbele yetu ni Bili ya utaratibu wa kubadili katiba na sio kuandika katiba.Kinachonikera ni kuwa wadau wengi wanapinga bili hiyo ya utaratibu lakini hoja zao zote ni zile za kupinga katiba.Penye ukweli...
  4. T

    Tanzania: Is the govt broke?

    Another proof that the TZ govt is living beyond its means is the growing public debt.I tell TZ will be another Greek or Italy!
  5. T

    Mwamko wa Mabadiliko Misri na Hatima ya Hosni Mubarak

    It is very true that the Angel of change is swipping the Magreb countries.However,Tanzania's case is a bit different in that the Angel of change is the the common himself who cannot complain of anything leave alone participating on violent protest.This has to change otherwise come 2015...
  6. T

    Magreb Awakes what about black Africa

    The Magreb awakes what is black Africa waiting?Jesus to come?Dont you have despot who hide behind stolen elections and practice state dictatorship?Time will tell?Remember Communist despots? They were swept by wind of change.Are you part of this change?
  7. T

    Vacant Postion

    A deluxe resort located in South West Zanzibar has a vacant postion of an Executive Secretary to the General Manager.If you are qualified and experienced Secretary or Personal Assistant please confidently send your CV to tinnotz@gmail.com.
  8. T

    Searching for a Job as SECRETARY/ RECEPTIONIST

    The organization I am working with is hotel and has a position for Executive Secretary to the GM.Send your CV to tinnotz@gmail.com
  9. T

    Ufumbuzi wa kuikomboa tanzania kupitia njia ya siasa hauna matumaini

    Nakubaliana na wewe kuwa hali itakuwa ngumu lakini matumaini yetu ni katiba ibadilishwe ili vyama vya siasa viwe ninauwezo sawa katika siasa.Pili wananchi waondokane na wazo kuwa vyama vya siasa vinaweza kuwakomboa watanzania.Watanzania watajikomboa wenyewe kwa kuukata mfumo mzima wa siasa kwa...
  10. T

    GE2010 Kuchelewesha matokeo ya uchaguzi ni mbinu ya CCM kuchochea macahafuko

    Tatizo kumbwa ni siasa za tumbo.Vyama tawala havitaki kuachia madaraka kwasababu wanajua kuwa wangine wakiingia watafichua ufisadi ambao waliundesha.Hivyo ushindi kwao ni lazima na inapoelekea kushindwa wanaanza kutimia vituko mbinu za kuwafanya wananchi wafanya vujo kama unavyoshuhudia sasa.
Back
Top Bottom