Recent content by tinno criss

  1. tinno criss

    Wanaofanya biashara za mitandaoni wasajiriwe ili kuwe na usalama wa fedha

    Kaka Hapa Mi Nilikuwa Nazungumzia Hawa Watu Wa Kawaida Ambao Wapo Kama Member Kwenye MITANDAONI, Sijamaanisha Wenye App Au Tovuti Kama Hawa Kupatana, Watu Wakawaida, Wanaouza Simu, Nguo N.k
  2. tinno criss

    Wanaofanya biashara za mitandaoni wasajiriwe ili kuwe na usalama wa fedha

    haiwezekani Nitume Hela Kabla Ya Kupewa Mzingo, Na Mwenye Mzigo Najua Hawezi Kunitumia Bila Ya Kumtumia Hela Kwanza, Sasa Hapo Nani Aibiwe??? Mi Sina Uhakika Kabisa Na Hizi Biashara Za MITANDAONI, Bora Watu Wanafanya Hizi Biashara Wangejisajiri Tofauti Na Sisi Watumiaji Wa Kawaida, Yaani...
  3. tinno criss

    Ni Nawezaje Kuizuia Namba Yangu Ya Simu Isonekane Kwa Mtu Anaye Ni_Spy

    Chonde Chonde Mi Si Mtu Mbaya Jamani, Mniwieradhi
  4. tinno criss

    Ni Nawezaje Kuizuia Namba Yangu Ya Simu Isonekane Kwa Mtu Anaye Ni_Spy

    Naomba Mniwieradhi Watu Wa Usalama, Hii Post Yangu Si Nzuri Kiusalama, Yaani Ninahaki Ya Kuonekana Mtu Mkosefu Na Ninyi Mnahaki Ya Kunitilia Shaka Juu Ya Hii Post, Mi Nilipost Hivi Kwa Sababu, Mi Na Rafiki Yangu Huwa Tunafungua Email kwenye Simu Za Watu, Sasa Rafiki Yangu Alifungua Akaunti...
  5. tinno criss

    Watch "TINNO CRISS" on YouTube

    How are you???
  6. tinno criss

    Nina kokoto natafuta wanunuzi

    Njombe Matalawe, Ni Ndogo Ndogo
  7. tinno criss

    WATANZANIA KUPATA MAENDELEO KWA KATIBA HII YA CHAMA KUTENGEZA SERA ITAKUWA NDOTO

    Nkweli Kabisa, Maana Inawabeba Watu Fulani,
  8. tinno criss

    Taifa Letu Litakua Vipi Kimaendeleo Bila Katiba Nzuri??

    Maana Demokrasia Ni Changa Sana Katika Nchi Yetu,
  9. tinno criss

    Historia Ya Uhuru Tanganyika Haina Mkanganyiko?? Ili Vyo Ndivyo Ilivyo,

    Maana Pengine Kuna History Nyingine Beyond Ya Hii Ya Kwenye Vitabu Vya Shule,
  10. tinno criss

    Nina kokoto natafuta wanunuzi

    Mi Nimezalisha Kokoto Nyingi Sana, Kwa Anaye hitaji tuwasiliane 0625844563 nipo Njombe, Zinaweza Kusafirishwa,
  11. tinno criss

    Nini kifanyike kuokoa kuzama kwa Jahazi Bongo Movies?

    Harakati Zipi Zifanyike Ili Kuokoa Kuzama Kwa Jahazi Bongo Movie??
Back
Top Bottom