Wadau naomba kujua watpto wenye maambukizi, wanaosoma /kufaulu elimu ya sekondari wanathaminiwaje, na kupokewa mashuleni kama wale wasio nayo?na treatment kwao inakuwaje-hasa ikizingatiwa ni suala la unyanyapaa limetarajali bado....
Ni kweli waandishi kadhaa wa bongo, bila kujitathimini uelewa wa kiingereza wanakurupuka na tafsiri fake tofauti na uhalisia wa habari yenyewe....hii ilinifanya kuacha kusoma magazeti kwa habari za nje, nikisoma labda ni za hapa kwetu-nayo kama nina muda huo;bora nizitafute toka vyanzo kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.