Mwandishi wa habari za michezo wa Bongo " Abidal asema Messi Alinibagua?"

Tata Maestro

Senior Member
Jan 8, 2017
169
175
Wadau,
Nimesekiliza watanzania tuongee magazeti ya radio free afrika leo hii, nikasikia habari ya kile alichosema Eric Abidal wakati amefanyiwa operation ya kansa ya ini wakati akicheza Barcelona nikasikitika sana. Ukisoma habari hii kwenye magazeti ya Spain kama Marca, Sport English na Mundo deportivo utaona ni tofauti kabisa na alichokiandika huyu mwandishi wa habari za michezo wa bongo maana habari hii imeanzia kwenye magazeti hayo. Moja ya kichwa cha habari cha habari hiyo ni hii hapa na hili ni gazeti la Daily Mail la England

Eric Abidal reveals Lionel Messi pleaded with him to not send videos to his Barcelona teammates whilst suffering from cancer because it upset the players too much
  • Former Barcelona defender Eric Abidal was diagnosed with liver cancer in 2011
  • He started to send motivational videos to his side as he continued his recovery
  • Abidal revealed that Lionel Messi asked him to stop because it hurt the team
  • The Frenchman also described how he cried when Thierry Henry came to visit
My take
Kama kiingereza kina kupa shida bora uache siyo kuendelea kudanganya waswahili wengi wasio na furusa ya kusoma magazeti ya mbele au website za mbele za habari za michezo.
 
kiuhalisia mwajiri ndo mwenye makosa kwa kuajiri mfanyakazi asiye na weledi na kazi yake sasa kama lugha ni tatizo vipi kuhusu miiko ya maadi ya kazi anaijua vizuri, nimeshangazwa sana na alichoandika huyo mwandishi maana hii habari nimeisoma kwenye website za michezo zaidi ya wiki 1 iliyopita
 
Mwakyembe yuko "active" kwenye habari zenye "viashiria vya uchochezi" pekee. Kwenye habari za upotoshaji wasomaji watachambua wenyewe pumba na mchele. Bongo imejaa waandishi makanjanja
 
masikini weeeeeeee, ukikutana na hayo makanjanja huwa yanajiita senior journalists
Binafsi huwa sisikilizi kinachoitwa uchambuzi wa soka la nje kutoka kwa hawa makanjanja wetu....
Naingia mwenyewe YouTube, ESPN, SKY SPORTS etc....
 
Ni kweli waandishi kadhaa wa bongo, bila kujitathimini uelewa wa kiingereza wanakurupuka na tafsiri fake tofauti na uhalisia wa habari yenyewe....hii ilinifanya kuacha kusoma magazeti kwa habari za nje, nikisoma labda ni za hapa kwetu-nayo kama nina muda huo;bora nizitafute toka vyanzo kupitia mitandao
 
Back
Top Bottom