Mahari ni tone la maji kwenye maumivu ya ndoa ya milele isiyo vunjika itakayo kuwa na maumivu yasiyo mfano yenye kuweza chukua maisha yako
Mkimbie huyo mwanamke tafuta chaguo lako sahihi
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
29 boko anatoka
33anapokea shuti lilipigwa kama faul anashindwa kufunga na anajikuta offside.Je aliingia tena baada ya kutolewa [emoji32]
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Miaka ya nyuma kulikuwa na kazi za kiume na za kike za kiume ni kubeba zege kuzibua vyoo etc na za kike ni kukaanga vitunguu na kupika huku kavaa kanga moja na kupiga story za watu ambazo wala haziwahusu na wala hazina faida yoyote sasa wewe mleta huu Uzi naona wewe unafanya hii ya kina mama...
Nshayaona kuna wazee flani hivi walikuwa na vipato vizuri sana miaka hiyo katika mialiko yao ya sherehe za familia mmoja wao mke akamfanyia kituko cha dharau mbele yao muda uleule mzee akajiua,akatokea mzee mwingine akansema sana marehemu kwanini ajiue sababu ya mwanamke?wiki moja baadae...
Wengi tuu hata aliyesababisha mama yake kuuawa na mchumba ake kujiua kibamba kwa kujipiga risasi si anafunda tuu kwa raha zake hadi leo?Mungu ampumzishe
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Si uache ukae bila dini kama unaona kero!Miaka ya nyuma makanisa yalitegemea wahisani ambao ni kutoka Ulaya na Asia sasa hivi hawatoi tena nao wamechoka,wahisani waliobakia ni waumini wenyewe sasa wewe unategemea kanisa linengwe na nani kama sio wewe muumini?kama unaona vipi achana na makanisa...
Niwashauri wanawake wasio na matege wavunje miguu yote kwenye mapaja afu Dr aweke pop likae kiutege tege kwani naona soko lishapatikanaa
doooo siyo kwa utege huo
Hapa mwenye hela alikuwa anakwepa kuzilipia kodi ndo maana alikataa kujaza fomu ili tra waone kodi yake hapo ni bei gani alvogoma ndo yakaja ya longolongo angejaza fomu na trawakachukua kodi yao wala isingekuwa habari
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Ila kiukweli mke wa mtu ni mtamu sana kwa mume wa mtu kwani mkiachana jioni kila mtu na hamsini zake kila mmoja anakuwa analinda ndoa hampigiani sim bila utaratibu au usumbufu kulinda mahusiano ya mchepuko wake na ndoa at the same time
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.