Inaonekana huenda alikosea kujaza information zake wakati WA Ku apply ama kulikuwa na sheeda kwenye entry requirement za koz alizoomba... Ila anaweza pata Chuo hata sasa kama akirekebisha
Ukitaka kuomba tena au kama umeomba pia unatakiwa kuchukua barua kwenye chuo ambacho hukwenda wadhibishe ww sio mwanafunzi wao then ipeleke tcu watakupa chuo kingine,
bila hiyo barua hata kama umeomba watakutema.
fanya hivo ndg
Top Ten Best Smartphone Brands - TheTopTens® tembea na link uone makampuni 10 bora ya smartphones dunian
la kwanza samsung then apple ... techno hata kwenye best 10 haipo
Hello, anayeelewa jinsi ya kuomba masters zinazotangazwa na nchi zilizoendelea anisaidie plzzz.
vigezo vyote ninavyo kwa ajili ya masters 2017/2018 na nimeona application nyingi zinafungwa october.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.