Katika dini za ajabu nilizo wahi ingia ni kwahuyu mzee na kanisa moja wanajiita FARAGHANI ila hawa Faraghani mpaka leo hua nawatafakari sipati majibu, kipindi hicho kanisa lipo kimara matangini
Ukitaka kuishi nao, usimchukulie kama mtumzima mwenzio hata awe amekuzidi umri, mchukulie kama rafiki na swala la mapenzi lije mwisho na pia umchukulie kama vile ni mtoto wako wa kwanza wa kike na uwe na pesa, tofauti na hapo naona haiwezekani, utawachukia bure viumbe vya mwenyenzi Mungu upate...
Mwanaume hua hakimbii changamoto huwa anapambana nayo ila kwa kesi hizi wadada wenye hua ndio husababisha kwa asilimia fulani haswa kutokua stable kwenye nyanja ya mahusiano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.