Hatutakaa tutengeneze????
Miaka Mia iliyopita ndege za kwanza zilikuwa zinatembea kwa 20 km/h sasa hivi ndege zinafika Hadi 7000 km/h.
Never say never........
Sent using Jamii Forums mobile app
Humu ndani naona ukikaa kimya Sana unajifunza zaidi kuliko kuandika zaidi,mfano nimejifunza kila mmoja humu anaona yeye ndio Yuko sawa kuliko mwenzie.
Nahisi Kuna walio sawa zaidi Ila wamekaa kimya kwavile hatujaonesha Nia ya kutaka kujifunza zaidi ya kujifanya tunajua.
Tutoe nafasi kwa...
Ndugu ukichukulia vitabu vya dini kuwa ndio chanzo chako pekee Cha kuyajua masuala ya ulimwengu wa kiroho nk,Hutafika popote.
Angalia na wengine wanasemaje kwa kuondoka kwenye mtego wa kuambiwa kuwa hayo Ni maneno ya Mungu,matakatifu nk
FUNGUKA
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta mada nakubaliana na wewe kwa asilimia nyingi sana.
Ila ingenoga kama ungefafanua ama kutueleza kwanza kuwa Mungu ni nini/nani?
Wengi SANA tunadhani tunafahamu ila nahisi bado hatujaelewa somo. Nahisi hata mimi bado sijamuelewa bado.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona unatetea sana kwa kulazimisha hoja mfu ya kwamba mfanyabiashara hawezi kuagiza kitu akashindwa kukikomboa???
Asishindwe yee nani?anazalisha hela nyumbani kwake? Kama uchumi ukiyumba yeye asiyumbe kwanini? Hivi unajua mpango sio matumizi??? Wangapi wameshindwa kulipa ada za watoto wao...
Mzee kama hailipi acha gari,nafahamu watu wengi wanao kaa huko hawavuki na magari kuja kazini.
Kumbuka zilizojenga pale sio hela za serikali,ni hela zetu sisi wanachama wa nssf sasa unafikiri zitarudije!? Au mafao yetu tutalipwaje wakati miradi kama hiyo ya mfuko ndio inayofanya mfuko usimame...
Seriously wewe kama ni mkenya kweli kama jina lako linavyotanabaisha,unasikia raha gani kila lililo negative kwa nchi yako ndio unalolifurahia!?
Kazi ipo kwakweli,mimi sio mkenya lakini sikuungi mkono.
Bado sijakuelewa na nahisi sitakuelewa,ila nikukumbushe kuna watu kibao hukataa kuajiri ndugu zao kwenye kampuni zao. Sio kwamba hawawapendi,laa!
Hata huku tz wapo wakenya kibao kwenye ofisi kibao na mitaani.
Na tokea mwanzo kila ukinijibu huongelei ishu ya ushindani,unaangalia vitu vingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.