CONTROLA, ]Hizi mambo za fuckmate ni ngumu sana mwisho wa siku lazima tu mtadevelop hisia za mapenzi na hapo ndo shida inapoanziaga sijui wenzetu wazungu huwa wanaweza vipi??kama mm siwezi kabisa nitakufa na wivu bure.
Na wadada wa bank jaman Mungu anawaona kwa maringo.wakati wana tabia mbaya kwel huwa wanachungulia account za wateja wakiona zina pesa nyingi ndo wanaanza kujipigisha visimu hasa CRDB na wengine wanafika mbali hadi kukopa.wanawake wabank wapo cheap sana kwa wanaume ambao account zao zinasoma...
Hah hah yan kama umeniongelea mimi walai....yan mm nilikuwa najua wana pesa hatari kumbe wana hali ngumu tu...kuna siku nimeenda bank nikaondoka bila kutoa tips lool walipiga simu hao ya kusalimia hatari maana Nilikuwa nimewazoesha.na wanaishi maisha magumu maana pia wanataka kumantain status...
Hiki kitu serikali iangalie kwa makini sana maana halmashauri zitashindwa kujiendesha kabisaa.maana mapato makuu ya halmashauri nyingi ni huo ushuru sasa kama haikusanyi ushuru hata vikao vyake vya ndani wataenda vipi hasa vikao vya madiwani na nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni tatizo kubwa sana halmashauri zinakosa kabisaa mapato hata posho za madiwani zinakuwa ni shida.na ivo vitambulisho unakuta mtu anauza ng'ombe 50 had 100 alafu ameshika kitambulisho.yan ugawaji wa ivi vitambulisho ni shidaaaa na ivi havina jina la muhusika yan wanapeana kama pipi
Sent...
Uwiiiiii nimejiona mimi kwakwel ,,yan ulieandika hii kitu utazani utazani ulikuwa unaniandikia mimi ,barikiwa sana dear ila nashukuru mungu nilishasepa zamani maana niliona huu ni ujinga mtu akupi hata mia na wala sihitaji mia yake mimi nataka upendo wake tu na hakupi aaaah..nimeacha kwakwel na...
Kwenye harusi ya shilole walitoa pesa nyingi sana na ahaf kibao wasafi walitoa noah ya milioni 9 kweli hizo pesa zoote si wangemchangia mwenzao mgonjwa..tatizo hawa wasanii wana dharau sana kwa wananchi wa kawaida ambao wakipata shida ndo wanawarudia hao hao.
Pili walitumika sana na CCM bila...
Mmmh ni sawa kama dini inasema ivo ila Kwakwel inabidi kuangalia na mazingira yenyewe mama una watoto unahangaika nini kwenda kuolewa na vijana bora angeolewa na mzee mwenziye ni sawa.
Hata uyo mkaka nae hajielewi anamuoa bibi mwenye wajuu ili iwaje?wataweza kweli kutengeneza familia????
Yan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.