hii issue ya DP world imeshika kasi kuzidi moto wa petrol,watanzania wanaamini bandari imeuzwa 😃 hilo ndio lilowajaa moyoni huu ufafanuzi unaotolewa na serikali sijui kupitia clubhouse sio wote wanaofuatilia na kujua wao wanachojua hii kitu ya dp ni BATILI.
INAHITAJIKA NGUVU YA ZIADA KUWATOA...
Habari wanajamvi,
Kwa mtu mwenye uhitaji wa professional HR anicheck DM.
Kwa sasa ninaishi Dar es Salaam ila naweza kufanya kazi sehemu yoyote.
Natanguliza shukrani.
hadi wauwe watu ndio serikali itaamka kutoka usingizini na kujifanya tutagharamia mazishi etc...... hii nchi ya ajabu sana uwajibikaji 0 mpaka madhara yatokee ndio watu wanashtuka...... sijui ni lini tutakuwa serious na mambo
k
kabisa maana hili suala la bandari kuna viongozi wamewageuza wananchi mazuzu imagine mpaka mwanasheria wa serikali bwana feleshi katetea ujinga huu leo lakini watu wanazidi kuibuka na kusema mkataba ni fanfwa haufai Mungu aingilie kati maana kuna wachache wanaangalia matumbo yao tu
usitegemee kama ataongea kitu cha maana juu ya bandari zaidi ya kuunga mkono juhudi za uwekezaji
hatutaki kusikia chochote kutoka kwake kwa sabau kutakuwa hakuna jipya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.