Habari wanajamvi?
Kuna hili suala la Kero za Muungano zilizogonga mwamba kutatuliwa Kwa awamu nyingi zilizopita!Lakini awamu hii ilipoingia tulitangaziwa kero hizo zilizosumbua sana zimetatuliwa chini ya SSH ndani ya muda mfupi!
Ajabu ni kwamba waandishi wa habari wakabeba taarifa kama...
Sababu zilizotolewa na serikali kuzima bunge!
1. Bunge live ni gharama Dana
2. Bunge live kinafanyika watu wasifanye kazi!
Ajabu ni kuwa sasa watu wamelipuuza bunge! Wao wenyewe wanatamani watu walifuatilie bunge kama zamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.