Kwa upande wangu nakubaliana na Hayati Magufuli. Kwa sisi wakazi wa DAR tunaona adha ya viongozi kuwa wengi huku mjini.
Barabara kufungwa, foleni kutokana na misafara, traffic na polisi kila kona.
Nchi inapanuliwa kwa kuhamisha vitu vingine kwenda mikoa mingine ikizingatiwa DOM ni mji wa...
Nahisi kila mtu aheshimiwe na mtazamo wake hata kama it doesnt make sense at all.
Sio sawa kuaminisha watu mtazamo wako usio na kichwa wal miguu.
We mature by responsibilities not by age. With your mentality, you will mature during menopause.
Ukiwa unakula vegetables unapata virutubisho directly ila ukila nyama unavita passive.
Mfano tembo anapata directly ila simba akimla tembo anavipata passively from the eaten meat.
Nahisi ukijiendekeza kuwa veg unaweza kuja kuliwa, that is my take
Nahisi changamoto tulio nayo ni kutokuwepo kwa ERP (EMERGENCY RESPONSE PLAN)
Hakuna set of protocols or procedures that guide people wht to do when a certain incident or accident has occured.
Nadhani itoshe kusema kila mtu aamini dini yake, aamini Mungu wake, dini zote hizi tumeletewa na pia tumezaliwa tukawakuta baba na mama zetu wanasali huko na sisi tukaendelea.
Heshima itawale, amani itawale, upendo utawale kwa kila mtu na dini yake.
Tuendeleze utu, haiba na tabia njema ambayo...
Nadhani kila mtu ana utashi wake katika kuchakata maswala mbalimbali. Mathalani hili, kwako T. Stars sio kipaumbele ila kwa wengine ni kipaumbele.
Timu ya Taifa inacheza siku hiyo moja tu, mbona kuna holidays, wafanyakazi wana emergency, ni sababu tosha kuwahi kutoka.
Msemaji hana kosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.