Recent content by tifamo lanjamwa

  1. T

    Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)

    Mtu kama anakataa kukupa mkono na wewe usimsainie sababu mkono alioukataa ndio unashika karamu.
  2. T

    Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)

    Fyatueni watoto nitawasomesha bure
  3. T

    Ufafanuzi: Majina John Heche Vs Wegesa Suguta

    John heche njoo uliweke sawa hili,UBASHITE hautakiwi popote pale.
  4. T

    Gwajima, Mbowe wanavyojipalia mkaa sakata la madawa ya kulevya kupitia media

    Wala huna sababu ya kutia shaka,kwani nani hajui kuwa hao jamaa ni madrug dealer?
  5. T

    Makonda anapitia kipindi kigumu

    Daudi Bashite au MUNGU MTOTO.
  6. T

    Amos Makala anafaaa kuwa Mkuu wa Mkoa bora, nashauri aletwe Dar

    Unatutafuta watu wa mbeya eeeeeh!Makala aende wapi,koma kabisa.Huyo jamaa apelekwe mwanza kutamfaa zaidi.
  7. T

    CHADEMA inaitia hasara Serikali

    [emoji2] [emoji2]
  8. T

    CHADEMA inaitia hasara Serikali

    Hapana wanasababisha mda mwingi upotee kwa kuwashika na kuwapeleka kortini.
  9. T

    CHADEMA inaitia hasara Serikali

    Hapo tunajenga viwanda bwana,ebu tuacheni mnatuchelewesha.
  10. T

    AIBU TUPU: Ubalozi wa Tanzania hapa Zimbabwe...

    Nenda ubalozi wa TANZANIA Mozambique uone madudu zaidi ya hayo ya ZIMBABWE.
  11. T

    Mtiririko wa Elimu ya Mh. Makonda katika ngazi ya Kidato cha Nne unafifia

    Yeye ndie ameanza kuona maboriti kwa wenzie,amekuwa Mungu tena yule mama aliemtukana hana tofauti na Mama yake mzazi.Amekuwa hakimu huyu mheshimiwa,anatumia lugha ngumu kama "Ntakushughulikia,ntakufukuza, na nyingine nyingi za kuudhi.Ushauri wako peleka pia kwake huyu Mungu,natumaini MWALLA...
  12. T

    Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

    [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] nini tena Mungu mtoto?
Back
Top Bottom