Hivi huyu DC anatufanya.sisi watanzania si waelewa maboya au vipi? kama ni elimu tunayo zaidi ya uliyokua nayo mkikaa huko mnadanganyana kuwa sisi watu wa mitaani hatujitambui mkipika majibu tutayaamini? imekula kwako watanzania wa aina hiyo ya kufanywa maboya kwa taarifa hawapo tena.
Sent from...
Viwanda 2536 kama kweli ni viwanda vya viwango vya karne hii ya 21ajira zake zingekuwa nyingi mno kiasi kwamba tatizo la ajira hapa nchini lingepunguwa mno.
Sent from my LG-F310L using JamiiForums mobile app
Kila yanapotokea mauaji wanatuambia uchunguzi bado unaendelea mpaka wananchi wa kibiti wote watauawa na bado watatuambia uchunguzi bado unaendelea imefikia wakati zile nguvu za kuwazibiti wapinzani zihamie kibiti maana inanisikitisha askari wetu wamekuwa mahodari wa kupambana na raia wasiokuwa...
Magufuli hatokuwa na jipya ilani ya chama ndiyo itakayofanya kazi atakuwa si Magufuli yule wa wizara ya ujenzi watanzania msidanganyike ukawa ndio mpango mzima
Huyo mtangazaji alipovamiwa na panya road baadae aliripoti kituo cha polisi? Kamanda lazima amsemee ovyo kwa sababu hana kithibitisho chochote kama yeye kweli alivamiwa
Wapeni elimu hao wasiofahamikiwa serikali na wananchi hatuna tatizo na Rugemalira hata kama anamiliki pesa ya dunia nzima ni yake sisi haituhusu tatizo liko kwa Tibaijuka yeye ni mtumishi wa umma kuna sheria na kanuni zilizowekwa ukiwa mtumishi wa umma,kuna muungwana mmoja amefafanua vizuri tu...
Eduardo Mondlane alikuwa ni kiongozi wa frelimo chama kilichopigania uhuru wa Msumbiji hakuwai kuwa raisi wa nchi hiyo kwani alifariki hapa jijini dar kwa bomu la barua kabla nchi yake kuwa huru.kumbukumbu nzuri
Ni kweli warusi walikuwa ndio wa kwanza kupeleka chombo mwezini lakini hawakutua.Armstrong mmarekani ndio binadamu wa kwanza kutua mwezini na chombo cha apollo11 na wenzake wawili mwaka 1969.kuna tofauti hapo kwenda mwezini na kutua mwezini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.