Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Mkuu, Nyalandu ndiye kiboko ya majangili. Kagasheki alikuwa anakataa kupokea kwa mbele ila kwa nyuma anachukua. Ndo maana majangili wa uingereza walikuwa wanapinga kuondolewa kwa Kagasheki coz ni mtu waohuyu nyalandu naye carolite zinamsumbua maana anaongea matapishi tu jana