Did they actually land on the moon ?

kama inapepea si useme kwanini inapepea? Tupo hapa kujifunza!!

inapepea sio kwasababu kuna upepo inapepea kwasababu ilitikiswa na kuipa nguvu ya kupepea na hakuna pressure wala air resistance za kuzuia kutopepea therefore it can wave for ages unless other energy is there to stop the flapping umeelewa
 
inapepea sio kwasababu kuna upepo inapepea kwasababu ilitikiswa na kuipa nguvu ya kupepea na hakuna pressure wala air resistance za kuzuia kutopepea therefore it can wave for ages unless other energy is there to stop the flapping umeelewa

hapo sawa!!
 
afadhali umewaka wazi, watu wengi wanapenda kukubali tuu mambo wanayosoma bila kutumia akili zao za kuzaliwa kufikiri kwa kina. Wewe angalia tuu kompyuta zenyewe za miaka ya sitini zilikuwa kubwa kama nyumba na zilikuwa hazina computing power kama zilizopo kwenye smartphone, sasa unafikiri walikuwa na hiyo tekinolojia ya kupelela mtu mwezini? Kitu kidogo tu kama ku-print document ambacho kinachukua sekunde kilichukua days miaka ile.

Umezumzia suala la mionzi (radiation), hivi kweli watu wanaelewa kiasi cha mionzi kilichopo huko angani katika umbali ule na jinsi ambavyo ingeweza ku-ionize delicate elecronic circuits za shuttle, hata kama vilikuwa na radiation shield, uwezekano wakuharibika ulikuwa mkubwa. Kumbuka tunaongelea miaka ya sitini hapa.

je! Unaamini wameweza kupeleka vyombo sayari ya mars?
 
Tatizo sio kufika bali ni documentary zao ndiyo zinawaumbua na kutufanya tusiamini wanachotueleza,mimi binafsi sikubaliani nao kuwa walifanikiwa kutua mwezini,kwa sababu vitu wanavyoonyesha kwenye documentary zao baada ya kurudi vinapingana na sayansi tunayoijua
mfano
1-Video zao zinaonyesha maastronauts wamesimama mwezini huku wameshikilia bendera ya marekani na inapepea hewani -hii kitu haingii akilini kwa bendera kupepea mwezini kwani hakuna hewa
2-.kwa technolojia ya kipindi hicho kama ukipiga picha basi lazima juu ya picha hiyo utakuta kuna alama ya msalaba(target) 'juu ya picha' ..sasa kwenye picha zao ule msalaba(target) umefunikwa au unaonekana nusu umefunikwa na picha yenyewe kitu ambacho hakingii akilini licha ya kutowezekana kabisa
3.-Muelekeo wa wa vivuli na jinsi hao maastronauts walivyokuwa wanamoove ni vitu viwili tofauti ambavyo haviendani

pana jiwe lina alama c ya kuchora si crake, background inatofautiana mahal walipo ktk pcha
 
Sorry Kama kuna confunsion yoyote nimeleta but ninachofahamu kwa physics ndogo niliyopitia kuna kitu kinaitwa space
Space ni approximately vacuum
Katika vacuum hakuna movement ya hewa
Pia sauti haiwezi kupita Hapo
Na mwezi upo katika space
Baada ya kumalizia atmosphere na layer nyingine Ndio tunakuta space
Kwa hiyo Kama bendera mlivoiona inapepea Hapo juu sasa inakuwa utata kwamba ipo katika space au physics na practical zote ni uongo
Pia sauti isingeweza kusikika katika recording yake
Pia Amstrong na wenzake walifunga camera katika paji la uso means ilirekodi eneo ambalo steps za miguu hazijafika but kwa Yule wa kwanza kuland katika moon camera yake ilionesha kuna footprints je kuna wengine walishuka kabla yake Hapo?
Ni hayo tuu
Leteni Maoni tubadilishane fikra
 
Sorry Kama kuna confunsion yoyote nimeleta but ninachofahamu kwa physics ndogo niliyopitia kuna kitu kinaitwa space
Space ni approximately vacuum
Katika vacuum hakuna movement ya hewa
Pia sauti haiwezi kupita Hapo
Na mwezi upo katika space
Baada ya kumalizia atmosphere na layer nyingine Ndio tunakuta space
Kwa hiyo Kama bendera mlivoiona inapepea Hapo juu sasa inakuwa utata kwamba ipo katika space au physics na practical zote ni uongo
Pia sauti isingeweza kusikika katika recording yake
Pia Amstrong na wenzake walifunga camera katika paji la uso means ilirekodi eneo ambalo steps za miguu hazijafika but kwa Yule wa kwanza kuland katika moon camera yake ilionesha kuna footprints je kuna wengine walishuka kabla yake Hapo?
Ni hayo tuu
Leteni Maoni tubadilishane fikra

Siku zote hii conspiracy ya "Apollo missions" inafurahisha maana inaleta mawazo mbalimbali. I am one of the big fans of outer space and original lunar missions was one of the things I followed back in those days.

Ni rahisi sana mtu akichagua areas fulani kama kielelezo cha error na akasimamia hapo hata kama hajui kwa hakika gravity katika mwezi ni ipi na ya dunia ni ipi. Pia ni rahisi kusema hiyo sio vacuum state inayofanana na ya mwezini na hivyo kila kitu ni simulation iliyofanyika hapa hapa duniani, labda somewhere jangwani nevada. One thing for sure kama lunar missions ni simulation tu, one should also take into account what kind of simulation you are bringing forward. The simulation that can be also a film project for such mission is not a simple alternative to suggest.

The largest vacuum chamber in the world is in Sandusky Ohio. Its 100 feet in diameter and 122 feet height. This is the one which is used for simulation and it is quite small for film project of that magnitude for instance fit for the film crew, actors, equipment, vehicles and all settings including the landscape. You should consider the rover traveled 3 miles in one of the film and that is too big landscape to build. The film technology of today can have some amazing features but not back then. Constructing such enormous vacuum chamber besides that NASA's SPF to simulate Moon gravity and then get rid of it that is even harder secret to keep.

It needs scientific approach to refute this not simple cherry picking of the evidence. Even someone mentioned political reason but I wonder would Russian scientists agreed to be fooled? They surely followed Apollo missions accurately than many of us.
 
Kutokana na clip na documdntary nlzopitia. Nimekuwa fifty fifty na kile nnachofundishwa darasan kwamba marekan ndo wa kwanza kupeleka mtu mwezini kwa kutumia apolo eleven. Cha kushangaza katika documemtary moja kulkuwepo na msemaji mkuu wa nasa na alishindwa kupangua allegations zlizoelekezwa kwa nasa kwamba hamna mtu alietua ktk mwez hiyo 1968. Naomba maoni yenu wadau.
KWa akili ya wajinga wengi kwamba ktk vacuum na less gravitation pull benera haiwezi pepea.Hawajui Newtonians kuweka Laws zinamajibu."Inertia". Hawajajiuliza km nguvu aliyotumia Amstrong kuishusha bendera ingeitupa bendera umbali gani na kwa nguvu kiasi gani,na mara bendera itakapojiachia na kufika mwisho na kubounce kwa ile kasi haitorudi tena kwa kasi na kuishi kufanya vitu km swing.Na kwa vile haina uzito wa kuanguka na hivyo itapepea tuu.
 
Russians ndio wakwanza kwenda mwenzini yule jamaa aliyezungumzia AREA 51 yuko sahihi kwani ndio eneo ilikoshotiwa iyo movies kipindi cha cold war.kwa wale wasiojua physics mwezini hakuna upepo so ile bendera haikutakiwa kupepea:ranger:
 
Ni kweli warusi walikuwa ndio wa kwanza kupeleka chombo mwezini lakini hawakutua.Armstrong mmarekani ndio binadamu wa kwanza kutua mwezini na chombo cha apollo11 na wenzake wawili mwaka 1969.kuna tofauti hapo kwenda mwezini na kutua mwezini.
 
inapepea sio kwasababu kuna upepo inapepea kwasababu ilitikiswa na kuipa nguvu ya kupepea na hakuna pressure wala air resistance za kuzuia kutopepea therefore it can wave for ages unless other energy is there to stop the flapping umeelewa




Wewe ni bonge la kichwa kula like
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom