Recent content by Tickmill

  1. Tickmill

    Kisa gani cha mapenzi ambacho kila ukikikumbuka unachukia?

    Mshangazi dot com Leejay49 Mpaji Mungu Ushimen Mshana Jr
  2. Tickmill

    Mwalimu Nyerere alikuwa ana uwezo mdogo sana, ila jina limekuzwa na chawa wake

    Mtu kama Mwinyi uwezo wake ulikuwa kama Babu tale. Ni kweli alishindwa kuandaa viongozi baada yake
  3. Tickmill

    Mwalimu Nyerere alikuwa ana uwezo mdogo sana, ila jina limekuzwa na chawa wake

    Unakuwaga na misifa ya kijinga, Huwa unadharau wengine lkn wewe ni bonge la bogus kama sio boga
  4. Tickmill

    Kwa wale Wachaga wa Narumu tukutane hapa

    Wazee wa mgombani😂
  5. Tickmill

    Kisa gani cha mapenzi ambacho kila ukikikumbuka unachukia?

    Habari za week end wapendwa. Katika ulimwengu wa mapenzi na mahusiano kuna visa kadhaa tumevifanya ambavyo huwa baadae tunajiona kuwa tulifanya ujinga. Kuna mkoa mmoja nilihamia na nikabahatika kukutana na watoto warembo sana ambao ni mtu na mdogo wake. Nikatokea kuvutiea sana na mdogo mtu...
  6. Tickmill

    Ila kupendwa raha nyiee

    Hiyo sio ngekewa, hii biashara ya kupendwa na usiyempenda ni kero.
  7. Tickmill

    Hotuba ya Rais Samia yalituliza Taifa na Kukata kiu ya Watanzania juu ya changamoto ya umeme

    Hao ndio vijana wenu wa uvccm mlivyowalea, hawataki kazi wamechagua kufuta makalio ya wengine ili waishi
  8. Tickmill

    Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

    Hawa majambazi mnoo hawaheshimu hata buy/sell stop, wanasogeza wazi wazi
Back
Top Bottom