We kila mahali unafeli? kulima mahindi mara El nino kufuga mara gharama sana sasa utaweza nini life ni kukomaa tu it takes time kuotea tobo and the rest inabaki history sio kuanza hiki unaacha unaenda kingine
Hapa sio poa asee anakimbiza kama kawa Tabora mji mdogo ila unaongoza kwa dhambi asee anyways nipo hapa KIOTA kesho narudi zangu Dasalama mwaka mzima nipo huku TBR kifupi nime Enjoy unyamwezini
We mwambie beby wako kuna demu mtaani alikutongoza ukamkatalia akasema utaona ndo matokeo unahisi hilo tatizo, la sivyo jipange ki saikolojia atapunguza genye pembeni hilo halina ubishi. Ukitaka kuacha rasmi PIGA cha mwisho mwisho tumia PAPAI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.