Natokea Kilimanjaro naingia Dar, kwa anayeweza nijuza mahali napata lodge nzuri karibu na Ubungo inayo-range 15,000-25,000 kama unajua niandikie location jina na bei na huduma ahsanteni hata kama bei ni zaidi ya hapo mnaweza taja kwa ajili ya wengine wenye uhitaji pia
Sent using Jamii Forums...
Wakubwa zangu shikamooni, wengine wote za asubuhi.
Ndio mara yangu ya kwanza kupata ID ya JF nimeona niwasalimu na . Naombeni ushirikiano wenu, nimepata ID ila JF nimeijua tangu mwaka 2016 sema sikuwahi ona umuhimu wa kuwa na ID hivyo mimi ni mgeni mwenyeji
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.