Recent content by tian

  1. tian

    Subaru Owners Forum

    Habari ya mchana mabibi na mabwana Natafuta forum / group la wamiliki wa vyombo vya Moto aina ya Subaru. Naomba link niweze kujifunza matunzo ,engine oil, garage,genuine parts etc Asanteni
  2. tian

    Pub gani nzur jiji DSM, kuwe kwa kaiwaida tu sitaki habar ya masaki wala London external

    Unatoa hayo maagizo ukiwa kama nani labda?Wakwako ndio umpe hayo masharti..Wivu utakuuwa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. tian

    Kwanini Waziri wa Mazingira, Bw. January Makamba hasifii juhudi za Rais Magufuli?

    Akishamsifia apate nini[emoji848][emoji848] Sent using Jamii Forums mobile app
  4. tian

    Habari za mapumziko wanajamii.Naomba kujuzwa ubora na ubaya wa magari aina ya Spacio kwa wale mangwiji wa magari.

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kujua ubora na ubaya wa magari ya aina ya Spacio,na pia natakiwa kuzingatia vitu gani vya msingi? Asanteni kwa ushauri Sent using Jamii Forums mobile app
  5. tian

    Safari ya China yamponza MC Luvanda, Mahakama yaamuru akamatwe

    Stupidity at its best,ndio maana tunadharaulika kama nchi..Mxiew
  6. tian

    Miaka 35 huna familia, gari, nyumba wala mashamba... Unategemea miujiza gani kutoka Mbinguni?

    Ukifa utaenda navyo?Ebu acha kuwapa watu stress maisha ni kuchagua unavyotaka yawe.
  7. tian

    Video: Hapa Kenya wametuacha hatua 10 mbele kwenye utalii

    Wacha watuache,tukimaliza kununua wabunge wa upinzani,tutawafata
  8. tian

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Haina madhara yoyote kwa mwanamke,labda kwa wanaume inasababisha pre mature ejaculation
  9. tian

    Carol Ndosi: Dear International Community, Don’t come to us later and say “Had we known, we would have done more”

    I have always admired Carol Ndosi,a great article..Let me say am impressed dada
  10. tian

    TLS: Chama ndani ya nchi isiyokuwepo

    Rejea historia yako ya shule ya msingi
  11. tian

    Mvua, Dar: Watu 9 Wafariki, Mabasi ya mwendokasi yamesitisha huduma

    Daah hivi waanzilishi wa huu mradi hawakufikiria kuwa na mbadala wa usafiri kwa ruti husika endapo itatokea hitilafu au usumbufu wa aina yoyote kwenye usafiri huu?
  12. tian

    Sijaona popote pale wanajeshi wa Rwanda wakilinda Ikulu ya Tanzania wala Ukuta wa Mererani

    Unapoleta hoja kubali pia kupingwa,usitoe povu kihasara hasara tu
  13. tian

    Mvua, Dar: Watu 9 Wafariki, Mabasi ya mwendokasi yamesitisha huduma

    Kwa Mujibu wa swahili times,mvua zinazoendelea hapa jijini zimesababisha mdororo wa usafiri kwa watumiaji wa huduma hiyo kwasababu ya kujaa kwa maji.
Back
Top Bottom