Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Mahakama ya Kisutu imeamuru kukamatwa kwa MC Anthony Luvanda maarufu MC Luvanda kwa kusafiri kwenda China kinyume na zuio la Mahakama la kutosafiri
Mshereheshaji huyo maarufu yuko nje kwa dhamana ya Mahakama baada ya kushikiliwa kwa tuhuma za kurusha maudhui kupitia Mtandao wa YouTube bila ya kuwa na leseni
MC huyu aliwekewa sharti la kutosafiri kama sehemu ya matakwa ya dhamana yake kwa tuhuma zilizokuwa zinamkabili