Dunia ni kweli na Kila kitu chake. Kuthibitisha hili kila kitu kimeumbwa kwa mpangilio na hesabu maalum hakuna kilichokua kipo Kipo tu bila maana mfano mdogo ni Dunia inazunguka kwenye muimili na kulizunguka Jua bila Kukosea miaka kwa Miaka. Bt the truth is maisha ya mwanadamu ni vanity over...
Ipendeni Nchi yenu,acheni kutanguliza maslahi binafsi mbele. Muda ukifika Mtapandishwa madaraja na kuongezewa Mishahara. Sasa hivi wote tuijenge nchi yetu Tanzania. Tano tena
Membe ni CCM kazini. Wapinzani wanaenda kulazimishwa kugawana Kura, hauwezi kushindana na CCM mkiwa nyinyi wenyewe hamjaungana. Membe anachoenda kufanya ni Divide and rule tu, sijui hawa Kina Zito na Mbowe hawajaliona hili?
Au kwa Maslahi yao mapana binafsi wanaenda Kunufaika na huyu Membe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.