Recent content by Throne Heir

  1. T

    NIMETHIBITISHA: Dunia haipo, ni unaota tu!

    Dunia ni kweli na Kila kitu chake. Kuthibitisha hili kila kitu kimeumbwa kwa mpangilio na hesabu maalum hakuna kilichokua kipo Kipo tu bila maana mfano mdogo ni Dunia inazunguka kwenye muimili na kulizunguka Jua bila Kukosea miaka kwa Miaka. Bt the truth is maisha ya mwanadamu ni vanity over...
  2. T

    Uchaguzi 2020 Huyu ni msafisha viatu kweli au ana kazi nyingine maalum? Amenichambulia siasa za Tanzania na kuahidi Tundu Lissu kushindwa vibaya

    Jf kuna Ugoro mwingi, ila wewe Richard ni mwenyekiti wa Waandika Ugoro hapa JF. Wewe ni zwazwaaa
  3. T

    Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

    Wale wakushukuru kila kitu. Nawasubiri mumshukuru kwa Kuwaletea tetemeko
  4. T

    Utumishi, Wizara ya Fedha na TAKUKURU kwanini mnaruhusu watumishi wa umma kukopea mishahara yao hadi Senti ya mwisho? Hamuoni kuwa inachangia Rushwa?

    Mtumishi wa Umma anamatatizo kibao hapo alipo anatembelea Kucha.Nawewe unaetaka asikopeshwe,unamtaka nini mtu huyu?Mind your own salary
  5. T

    Miaka sita bila kupanda daraja

    Ipendeni Nchi yenu,acheni kutanguliza maslahi binafsi mbele. Muda ukifika Mtapandishwa madaraja na kuongezewa Mishahara. Sasa hivi wote tuijenge nchi yetu Tanzania. Tano tena
  6. T

    TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

    Pumzika kwa Amani mzee wetu Mzee Mkapa.
  7. T

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020

    Gwajizo Gwaji the boy umeshindwa kujiombea ushinde kura za maoni. Sipati picha umeandaa uongo gani kudanganya kondoo zako Jpili hii.
  8. T

    Wazee wa porini nipe ushauri

    Unafanya research survey ya mtandao unaokamata vijijini sio now una collect data kupitia uzi
  9. T

    Kumbe kuna watu wana PhD halafu wanalipwa laki 5?

    Madegree na PHd za siku hizi ni mzigo na chanzo cha stress. Kuweni makini usiseme ujambiwa.
  10. T

    Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Ni uchaguzi wa kishindo

    Membe ni CCM kazini. Wapinzani wanaenda kulazimishwa kugawana Kura, hauwezi kushindana na CCM mkiwa nyinyi wenyewe hamjaungana. Membe anachoenda kufanya ni Divide and rule tu, sijui hawa Kina Zito na Mbowe hawajaliona hili? Au kwa Maslahi yao mapana binafsi wanaenda Kunufaika na huyu Membe...
Back
Top Bottom