Ni wapi kuna uthibitisho kuwa hizi sayari zitafikia mwisho wake..Maandiko yote yanazungumzia uhai ndio utakao kuwa na Mwisho. Kwa Mfano Uislamu unasema "Kila Nafsi itaonja Umauti". Hapa Kinachotajwa ni nafsi ambayo ina uhai na Dunia na Sayari zingine si sehemu ya vitu au viumbe vyenye nafsi. Kwa...
Kwa Kipindi Kirefu binadamu wameishi kwenye Uelewa hafifu wa Kuhusu mwisho wa Dunia, hii inaweza kuwa ni kwa makusudi au kwa bahati mbaya.
Kuhusu mwanzo na mwisho wa DUnia asilimia kubwa ya wanadamu uelewa wao kuhusu chanzo cha na asili ya Dunia ni kutokana na vitabu vitakatifu kama Quran na...
Dunia ni kweli na Kila kitu chake. Kuthibitisha hili kila kitu kimeumbwa kwa mpangilio na hesabu maalum hakuna kilichokua kipo Kipo tu bila maana mfano mdogo ni Dunia inazunguka kwenye muimili na kulizunguka Jua bila Kukosea miaka kwa Miaka. Bt the truth is maisha ya mwanadamu ni vanity over...
Ipendeni Nchi yenu,acheni kutanguliza maslahi binafsi mbele. Muda ukifika Mtapandishwa madaraja na kuongezewa Mishahara. Sasa hivi wote tuijenge nchi yetu Tanzania. Tano tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.