Kijana kuwa na maneno ya staha na adabu kumbuka huyu ni kiongozi mkuu wa nchi yetu na kama umeshindwa kumuheshimu kwa cheo chake basi muheshimu kwa umri wake.
Malezi yako yana shida kijana aliyelelewa vizuri hawezi kuandika maneno uliyoyaandika
usije logwa kupanda tahmeed ni bus takataka huduma mbovu mnoo,mabus yao yamechoka sanaaaa ni kama zile daladala za mbagala-kawe.
Ni bora utembee kwa miguu au upande baiskeli kuliko bus zao.
Ni za hovooo
kwa kifupi ni takataka
Wamasai waislam wapo wengi tu
wajaluo pia wapo waislamu tele tena wanashika sana dini ukitaka kuthibitisha nenda kisumu,homa bay na eneo la magharibi mwa kenya.
Poleni sana taifa teule,Waisrahell wa Bonyokwa
Kipigo alichotoa huyu mzee ali khamenei,ayatollah akiwa chini ya handaki ni kipigo kitakatifu kwa taifa teule na yeye ndio mwamba wa mashariki ya kati kwa sasa na hata milele.
Netanyahu hatosubutu asilani kurusha hata jiwe la manati Tehran au...
Unaweza kuwa na hoja nzuri sana ila ufikishaji wako ukawa haueleweki kabisa.
Hivi ni mimi tu nimeona hiki kitu au na wengine.
Inakuwaje graduate tena wa sheria na aliyeenda Law school anaandika kitu hakieleweki??
Nachukia sana kwa msomi kutokuwa na writting skills.
Unawaabisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.