Kwanza Nikupe pole sana mkuu. Huo sio ugonjwa, ni jambo linalitokana na msonhobwa mawazo, nijambo linalo himilika na kuisha, kibayabni kua lazima manzi alikua na fikra nyingine baada ya wewe kushindwa kukichafua kwamkapa,
Solution:
Ili ushinde kwanza punguza msongo wa mawazo,
Njia mojawapo ni...
Keanza nikupe pole sana kwa changamoto kubwa unayo ipitia ambayo inakusononesha hasa unapohitaji faragha na mumewako. Usijiskie mbyonge, nenda hospitali kubwa onana na daktari wa akina mama tatizo lako linapona kabisa.
Usifikirie kufanya abortion, ila fikiria kulea huo ujauzito, kama inaishi na mume niwakati wake kukuonyesha mapenzi ili usijutie hali ulionayo zaidi tunza afya yako. Mpe lishe nzuri huyo mtoto naamini atakua vizuri tuu wala usiogope
Jamani kumbe hali ni mbaya kwa wote. Mimi kabiashara kangu nilianza mwezi july kwasiku mauzo yalikua nanafika hadi 1.3ml yakishuka yanafika laki 8. Lakini kwasasa nauza laki tano tuu kwa siku. Hebu wana uchumi mtusaidie nikitugani hiki jamani.
geniveros kama wewe ni mwanamke basi ni mke mwelevu, that is all about, mwanaume nikiongozi inapaswa akuongoze, hata kama wewe umejaliwa kua na bitegauchumi, yeye ndie anapaswa kuku manage nakukupa muongozo, mwanaume amepewa upeo mkubwa wa kupambanua mambo. Mwanamke amepewa kutii. Thats all.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.