ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Wanajf mimi pamoja na kuwa muumini mzuri wa kulipa kodi hali inazidi kuwa mbaya.Mwezi julai wakati naanza kuuza haka kagenge nilikuwa nauza hadi sh.80000/= kwa siku nikaenda TRA wakanipa tin namba.Manisipaa wakanipa leseni nikawa full hapa kazi tu!!!!Ajabu kuanzia oktoba mosi mauzo yameshuka hadi sh.7000/= kwa siku.Wadau nisaidieni namna ya kufanya ili niisitishe hii tin namba kwani sitaweza kupata kodi waliyoniambia ya sh.318000/=ifikapo Desemba 2016