Namna ya kusitisha matumizi ya TIN namba TRA

ufumawicha

JF-Expert Member
Mar 16, 2014
504
209
Wanajf mimi pamoja na kuwa muumini mzuri wa kulipa kodi hali inazidi kuwa mbaya.Mwezi julai wakati naanza kuuza haka kagenge nilikuwa nauza hadi sh.80000/= kwa siku nikaenda TRA wakanipa tin namba.Manisipaa wakanipa leseni nikawa full hapa kazi tu!!!!Ajabu kuanzia oktoba mosi mauzo yameshuka hadi sh.7000/= kwa siku.Wadau nisaidieni namna ya kufanya ili niisitishe hii tin namba kwani sitaweza kupata kodi waliyoniambia ya sh.318000/=ifikapo Desemba 2016
 
Ukane uraia wa Tanzania,mheshimiwa hataki wakwepa kodi.
 
Nakushukuru sana kwa hapo ambapo uwezo wako wa kufikiri umeishia!!!!!!

Ahsante sana kama suala dogo kama hili unakuja kuomba msaada JF,inadhihirisha jinsi ulivyo na uwezo mdogo wa kuchambua mambo na kufikia maamuzi sahihi.Biashara ya tsh 7,000 kwa siku maana yake ni sawa na tsh 200,000 kwa mwezi sijui utamudi vipi maisha hata kununua bandle itakuwa ni shida sanaaaaa.
 
Ahsante sana kama suala dogo kama hili unakuja kuomba msaada JF,inadhihirisha jinsi ulivyo na uwezo mdogo wa kuchambua mambo na kufikia maamuzi sahihi.Biashara ya tsh 7,000 kwa siku maana yake ni sawa na tsh 200,000 kwa mwezi sijui utamudi vipi maisha hata kununua bandle itakuwa ni shida sanaaaaa.
Na ndiyo maana nikaja hapa jf kwa sababu ninajua ukiachiliambali wewe wako watu wenye busara zao na wanaweza kutoa ushauri !!!!
 
Wanajf mimi pamoja na kuwa muumini mzuri wa kulipa kodi hali inazidi kuwa mbaya.Mwezi julai wakati naanza kuuza haka kagenge nilikuwa nauza hadi sh.80000/= kwa siku nikaenda TRA wakanipa tin namba.Manisipaa wakanipa leseni nikawa full hapa kazi tu!!!!Ajabu kuanzia oktoba mosi mauzo yameshuka hadi sh.7000/= kwa siku.Wadau nisaidieni namna ya kufanya ili niisitishe hii tin namba kwani sitaweza kupata kodi waliyoniambia ya sh.318000/=ifikapo Desemba 2016
unatakiwa kufika ofisi ya tra uliyonayo karibu na kutoa taarifa ya kuwa umefirika biashara yako moja kwa moja utatolewa kwenye system
 
unatakiwa kufika ofisi ya tra uliyonayo karibu na kutoa taarifa ya kuwa umefirika biashara yako moja kwa moja utatolewa kwenye system

Hivi ukipewa TIN kipindi cha kuomba leseni ya kuendesha gari,ukishindwa kufaulu kuendesha gari unarejea TRA kuomba wakufutie TIN ?.

Ikiwa biashara imeyumba tengeneza mahesabu kuonyesha biashara haiendi vyema na si kukimbilia kufuta TIN.
 
unatakiwa kufika ofisi ya tra uliyonayo karibu na kutoa taarifa ya kuwa umefirika biashara yako moja kwa moja utatolewa kwenye system
Nakushukuru sana mkuu kwa ushauri.Sasa nikienda huko hawawezi kuniuliza ushahidi wowote?
 
Wanajf mimi pamoja na kuwa muumini mzuri wa kulipa kodi hali inazidi kuwa mbaya.Mwezi julai wakati naanza kuuza haka kagenge nilikuwa nauza hadi sh.80000/= kwa siku nikaenda TRA wakanipa tin namba.Manisipaa wakanipa leseni nikawa full hapa kazi tu!!!!Ajabu kuanzia oktoba mosi mauzo yameshuka hadi sh.7000/= kwa siku.Wadau nisaidieni namna ya kufanya ili niisitishe hii tin namba kwani sitaweza kupata kodi waliyoniambia ya sh.318000/=ifikapo Desemba 2016


nenda kwa serikali yako ya mtaa wajulishe una fynga biashara mambo yamekuwa magumu, mtendaji baada ya kuthibitisha umefunga biashara yako atakuandikia barua ya kupeleka TRA, nawe utaandika barua nakala kwa afisa biashara wilaya kwenda ofisi ya TRA ambako biashara tin yako imesajiliwa,

hapo tin yako itasitishwa, na hali itakaporejea kuwa vyema utaweza endelea na tin hiyo hiyo bila kuwa na deni tra na kwa leseni
 
Andika barua kwa meneja wa TRa aliekaribu yako weka sababu ya kusababisha sales kushuka na ushaidi pia ambatanisha Tin no,leseni ya biashara ,Assessment ya kwanza uliopewa wakati unaenda omaba Tin ambayo inaonesha installement za baada ya miez 3 pia lisit zote za kodi watapokea maombi yako then watakuja kwa block managemnt kujidhilisha ilo ili ufanyiwe amendment ya kodi as presumtive trader
 
Mkuu hapa ndiyo JF, ukiomba ushauri usishangae kukutana na watu wanaojifanya wanajua kila kitu na kauli za kukubeza.
Nakushauri kitu kimoja, funga hiyo biashara (japo kwa muda), then andika barua kwa meneja wa TRA mkoa uliopo ukimtaarifu kwamba UMEFUNGA biashara kwa sababu biashara haiendi vizuri hivyo umeishiwa mtaji na kufikia maamuzi ya kuifunga biashara hiyo kwa sababu imefikia kipindi unaiendesha kwa hasara, onesha dhahiri ni kuanzia tarehe ngapi umesitisha rasmi kufanya biashara. Inategemeana na ulipo na aina na ukubwa wa biashara uliyokuwa unafanya, huenda wakafika kukagua kujiridhisha kama kweli umefunga. Baadaye ukibuni biashara nyingine unaweza kujisajili upya na wakakufanyia makadirio upya (wengi wanatumia ujanja wa kutumia jina tofauti kabisaa, hata maafisa wa TRA wanalijua hilo). Kama biashara kweli hailipi kabisa achana nayo mkuu, fanya biashara nyingine.
 
Wanajf mimi pamoja na kuwa muumini mzuri wa kulipa kodi hali inazidi kuwa mbaya.Mwezi julai wakati naanza kuuza haka kagenge nilikuwa nauza hadi sh.80000/= kwa siku nikaenda TRA wakanipa tin namba.Manisipaa wakanipa leseni nikawa full hapa kazi tu!!!!Ajabu kuanzia oktoba mosi mauzo yameshuka hadi sh.7000/= kwa siku.Wadau nisaidieni namna ya kufanya ili niisitishe hii tin namba kwani sitaweza kupata kodi waliyoniambia ya sh.318000/=ifikapo Desemba 2016
Andika Barua TRA kuwaeleza unasitisha Biashara. Ila jiandae kulipa wanavyokuadai mpaka sasa.
Kwa maelezo zaidi fika ofisi zozote za TRA karibu na wewe!
 
Andika barua kwa meneja wa TRa aliekaribu yako weka sababu ya kusababisha sales kushuka na ushaidi pia ambatanisha Tin no,leseni ya biashara ,Assessment ya kwanza uliopewa wakati unaenda omaba Tin ambayo inaonesha installement za baada ya miez 3 pia lisit zote za kodi watapokea maombi yako then watakuja kwa block managemnt kujidhilisha ilo ili ufanyiwe amendment ya kodi as presumtive trader
Umemshauri vizuri mkuu.......lakini kuwa makini na maandishi yako
TRa=TRA
Tin=TIN.
 
Mkuu usisahau pia kuandika barua Ofisi uliyopata leseni (HALMASHAURI HUSIKA)ili nao wajue kama umeacha biashara.....Kama ulipata leseni kwa kutumia mfumo electronic basi wakutoe ktk orodha ya walipa kodi wao
 
Mhhh kwa mfano Mimi niliomba tin ili nikapate lesen halafu mambo yakawa mabaya sikufuatilia inamaana inanipasa nikafute tena
 
Jamani kumbe hali ni mbaya kwa wote. Mimi kabiashara kangu nilianza mwezi july kwasiku mauzo yalikua nanafika hadi 1.3ml yakishuka yanafika laki 8. Lakini kwasasa nauza laki tano tuu kwa siku. Hebu wana uchumi mtusaidie nikitugani hiki jamani.
 
Jamani kumbe hali ni mbaya kwa wote. Mimi kabiashara kangu nilianza mwezi july kwasiku mauzo yalikua nanafika hadi 1.3ml yakishuka yanafika laki 8. Lakini kwasasa nauza laki tano tuu kwa siku. Hebu wana uchumi mtusaidie nikitugani hiki jamani.
uchumi umekua
 
Back
Top Bottom