Recent content by Thomas ndunguru

  1. Thomas ndunguru

    Makonda nenda kwa tahadhari. Wanataka wakutumie, baada ya 2025 watakutupa! Watakurudisha ulipotoka

    Duuuuuh hili umefikiria sana japo wengi wetu tulishindwa kulizungumza. Ukweli ndo huo makonda awe makini sana, walishaona anayo nguvu ya kuwaaminisha raia... Km hivyo..
  2. Thomas ndunguru

    Takwimu za uwiano za me" na ke"

    Mmmmmmmmhhhh takwimu hii imechukuliwa kwenye data base gani???
  3. Thomas ndunguru

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Naomba bei ya alizeti kwa debe/gunia Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Thomas ndunguru

    Msaada: Ng'ombe wangu anaweza kufa

    Muone dactari wa mifugo Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Thomas ndunguru

    NEC yaongeza vituo zaidi ya 800 vya kuandikishia wapiga kura uchaguzi mkuu 2020

    Gori la mkono hilooo Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Thomas ndunguru

    Katika Kutongoza, tuambiane tu ukweli kaka zangu. Bila chuki wala nini mna fail sana

    Unatafuta kiki,,,, utazipata tu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Thomas ndunguru

    HUWEZI KUMRIDHISHA MWANAMKE, KWANI YEYE MWENYEWE HAJUI ANATAKA NINI

    [emoji109][emoji109] Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Thomas ndunguru

    Nimemtongoza binti mtandao yupo uholanzi ameingia king msaada jinsi ya kufika kule

    Kwani bongo wazuri wameisha,,,,,,,,,, utaenda kuwa mfanyakazi wa ndani Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Thomas ndunguru

    Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

    FARU JOHN,,,,huenda waliomuua ni majmbazi aliundiwa tume ya kifo chake,,, tunasubiri kuona je hawa askari wataundiwa tume ili huyo jambazi akamatwe????
  10. Thomas ndunguru

    Kuna Dalili ya Serikali Kufilisika

    Hali hii sizan kama tz tutakuwa na uchumi wa kati kama anavyotaka yeye rais
  11. Thomas ndunguru

    Waziri Ummy Mwalimu: Marufuku RC, DC kuwakamata na kuwasumbua madaktari

    DC na Rc,,,, wafanyiwe uhakiki icje wakawa akina Mr zero wengi!!!!!
  12. Thomas ndunguru

    Updates: Wasanii Waitikia wito wa Makonda Kufika Polisi

    Mi naona hapo kadonoa kapi la embe bado mnofu na koko lake
Back
Top Bottom