Recent content by Thomas David

  1. T

    Tuache Unafiki na Uzandiki: Miaka 50 ya Tanzania ni Mpaka 2014! Miaka 50 ya Tanganyika ni 2011!

    Miaka 50 ya Tanzania ni Mpaka 2014! Miaka 50 ya Tanganyika ni 2011! Historia ni historia....huwezi ukaibadilisha.....ukijaribu kuibadilisha unaharibu maana ya historia yenyewe Tuache huu unafiki na tuwaonee huruma watoto wetu wanaojifunza historia na kuielewa vizuri nchi yao....ilikotoka na...
  2. T

    Consulting on Open Government - time to send your ideas

    .....send your ideas.....demand Freedom of Information law to be included in the country action plan [please note:Tanzania will be evaluated based on these commitments contained in the country action plan].....by sending sms and ideas.....you are making your government open up.....time is...
  3. T

    Electricity Monitoring in Dar es Salaam:Tufuatilie Pamoja:Only two minutes to make a difference!!

    Je, unaishi Dar es Salaam? Tafadhali, tumia dakika mbili tu ya muda wako kujaza hii dodoso and make a difference! Electricity Monitoring in Dar es Salaam:Tufuatilie Pamoja Thomas David
  4. T

    Busara Yenye Mantiki::Chama Tawala Kisishiriki Kuandaa na Kutekeleza Machakato Katiba Mpya

    ..busara ambayo ina mantiki na labda wenye hisia za kichama zaidi wataona ina makengeza ya ajabu ni hii...chama tawala isishiriki kwa namna yoyote ile katika kuandaa na kutekeleza mchakato wa katiba mpya...sababu ni moja...hawatakubali katiba ambayo itahatarisha uwepo wao madarakani...picha...
  5. T

    Dr. Noordin Jella: Msomi anayegongana na TISS aja na vitabu vipya!

    Paschal, Viwango duni? Kwa hiyo TISS ni TBS ya kupima kitabu kipi kichapishwe na kipi kiachwe? I don't think so! Maandiko yake yamechapishwa na Lambert, na ziko amazon, hii ni kuthibitisha kuwa maandishi yamekubalika na ni ya viwango vya kimataifa. Inawezekana kuna jambo lingine...
  6. T

    Alichojifunza Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kuhusu Nchi za Magharibi

    ...you plan on other peoples money...you cannot develop that way...
  7. T

    Zantel High Life Club SUCKS

    Pole mkuu, biashara ya watu ambao ni wavivu kufikiria, this is what normally happen hawa ndugu wakiwa in charge.
  8. T

    Zantel High Life Club SUCKS

    Customer care nimegombana nao asubuhi....hao ni kuwaacha tu kama walivyokuwa zamani...na kama huko tunakokwenda huduma ni nzuri na hakuna mizengwe kama yao basi ndio kimoja....this really stinks!!!!!!
  9. T

    Mchakato katiba mpya: Sema "no" to kikwete na "yes" to bunge

    MCHAKATO KATIBA MPYA: SEMA "NO" TO KIKWETE NA "YES" TO BUNGE
  10. T

    KATIBA MPYA: Hongera Kikwete kwa kukubali lakini mchakato usimamiwe na Bunge

    Bunge ni mhimili wa dola unaofanya kazi kwa niaba ya wananchi. Hoja binafsi ya katiba mpya imewasilishwa bungeni, na huko ndiko kutaundwa baraza la kutunga katiba, na watakaofanya hivyo ni wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia wawakilishi wao bila kuingiliwa na Serikali. Na ni huko...
  11. T

    GE2010 Utafiti wa TCIB: Dk. Slaa aongoza

    Kazi kweli kweli??
  12. T

    Kigamboni Ferry: Who is in a hurry?

    :eyebrows::eyebrows: Is the law thrown out of the window? :eek2::eek2:
  13. T

    Is the law thrown out of the window?

    FYI Is the law thrown out of the window? Thomas
  14. T

    GE2010 Mdahalo wa wagombea urais 2010

    Hakuna mpambe wala pamba bali mapambano ya hoja na sera badala ya sura Vijana Bwana. Sijui wakoje siku hizi. Wakati sisi tulikuwa tayari kukubali tunayoambiwa, tuliwaamini watu, vijana wa siku hizi wanataka kuhoji kila kitu. Wanataka kupima na kujiamulia wenyewe. Hebu angalia pepe...
Back
Top Bottom