Thomas David
Member
- Aug 22, 2008
- 51
- 3
Miaka 50 ya Tanzania ni Mpaka 2014!
Miaka 50 ya Tanganyika ni 2011!
Historia ni historia....huwezi ukaibadilisha.....ukijaribu kuibadilisha unaharibu maana ya historia yenyewe
Tuache huu unafiki na tuwaonee huruma watoto wetu wanaojifunza historia na kuielewa vizuri nchi yao....ilikotoka na inakoelekea.
Hii hofu....hofu ya muungano.....
Hofu hii....sidhani kama itatufikisha mbali.
Tunashindwa hata kuhoji yaliyo ya msingi kabisa.....bila shaka zidumu fikra za mwenyekiti bado yaendelea kutamalaki katika vichwa vya watanzania.....
Lakini na waandishi wetu wa habari wamepotoka kiasi hiki?
Tumekuwa mazuzu kiasi hiki?
Miaka 50 ya Tanganyika ni 2011!
Historia ni historia....huwezi ukaibadilisha.....ukijaribu kuibadilisha unaharibu maana ya historia yenyewe
Tuache huu unafiki na tuwaonee huruma watoto wetu wanaojifunza historia na kuielewa vizuri nchi yao....ilikotoka na inakoelekea.
Hii hofu....hofu ya muungano.....
Hofu hii....sidhani kama itatufikisha mbali.
Tunashindwa hata kuhoji yaliyo ya msingi kabisa.....bila shaka zidumu fikra za mwenyekiti bado yaendelea kutamalaki katika vichwa vya watanzania.....
Lakini na waandishi wetu wa habari wamepotoka kiasi hiki?
Tumekuwa mazuzu kiasi hiki?