Thomas David
Member
- Aug 22, 2008
- 51
- 3
..busara ambayo ina mantiki na labda wenye hisia za kichama zaidi wataona ina makengeza ya ajabu ni hii...chama tawala isishiriki kwa namna yoyote ile katika kuandaa na kutekeleza mchakato wa katiba mpya...sababu ni moja...hawatakubali katiba ambayo itahatarisha uwepo wao madarakani...picha halisi tumeiona kwenye maudhui ya muswada kwa marekebisho ya katiba...wameweka vizingiti vingi kutetea uhai wa utawala uliopo...