Angalia jamii yako inachangamoto gani, au bidhaa gani hawaipati kw urahisi, au wanaipata kwa gharama kubwa then tatua changamoto zao. Monetize the problem ili upate pesa
I dont advise on such a business. No future, kwamtaji ulionao you cannot make a difference maybe kama you really know what your doing. Fanya kitu ambacho una passion nacho ili usichime mtaji
kampuni zinazofanya biashara izi ni chache sana , na inabidi uwe na a very potential space ili wakutafute. So kama unaamini u have a potential place andika business proposal in a very simple way alafu wewe ndo uzitafute izi kampuni. La sivyo tafuta rich individuals mfanye biashara
Wazo zuli la bishara linategemea na characters za mtu husika especially kwenye kutake risk na amount ya reward anataka, lakini pia kuna watu wanauwezo wakivumilia biashara za stress na wengine hawawezi kuvumia mazingira kama hayo, wengine wanapenda pesa kiasi cha kwamba biahara yenye low return...
Angalia nyuma kama utaona ulipoteleza. Am sure kuna shida pahala. Ila pia skuizi competition iko jui sana and specially kea biahara za kitanzania za kuigana. Tafuta competitive advantage over the market mambo ya ndumba yapo ila mostly hayasaidii labda kwenye kijikinga tu
Mawazo ya hivi ni magumu kuyakuza, unaweza ukakaa miaka hata mitano na mtaji ukahitajika huo huo wa 2.5 mil with profit continue to godown as compared to capital. Ila mawazo ya hivi yapo mengi tu
Ukweli ni kwamba lema kaongea ukweli mtupu. Vikoba ni umaskini na ni kweli ni umaskini. Thats a fact. Bodaboda inaua watu kuliko kawaida, not even corona do what bodaboda does and the funny fact ni serikali kuchochea kwasababu inaongeza kipato kwa vijana, but it shouldn’t be apublic...
Kodi ya kenya iko ni nzuri kuliko all the countries in east africa. Huduma rahisi kutoka kwa mamlaka za serikali plus the effect on the market ikae kenya au tz au ata ingekua ug is the same on the market. Their government is more stable kama ningekua mimi its better kenya than tz kama nikiangali...
we unataka mwananke wa aina gani?, ukisema umuoe a hupendi uongo io imekula kwako, kama unataka mwanamke wa kutengeneza pesa pia ukufai, kama unataka mwanamke wa kukusikiliza unavyotaka pia akufai. mi nnachoona unampenda na unafata mazuri mengine aliyonayo. kama na uwezo wa kumvumilia achana nae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.