Huyo ndo kamanda sio ccm wanatutangazia kilimo kwnza then wanakalisha ------ maofisin huku wakipanga njama za kuwateka na kuwang'oa kucha na kuwabambikizia kesi makamanda wetu.
Tatizo kubwa la ccm hawataki kukosolewa na ndio maana wanawang'oa kucha na kuwatoa macho waandishi wa habari ila kiama chao kimefika wasubiri 2015 wataelewa tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.