Habari mshana naomba kujua ukiwa ukishainuia unaitia ndani ya maji je unasubiria iyeyuke ndiyo uoge? Au unaweza oga bila kusubiria iyeyuke? Na kama haijayeyuka mwisho ikibakia vipande unaweza achana navyo? Au naweza I brend kwenye Brenda halaf niogee? Naomba kama upo online unijib kesho...
Comment zinaridhisha Ila Kuna wadau wamezama PM na madau kuliko ya hapo kwenye thrend nna mashaka hapa nimebaki na mtihani nani mkweli nani sio mkweli
Nitafanya pata potea maana hii kama Kamali sasa nikiliwa mtanichimbia kaburi, ushauri niscreenshot niwapost walonifata PM au ni deal na hawa wa...
Habari wanaJF
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza naomba Kwa aliye seriousy na muaminifu nikikupatia laki 5 utafanyia biashara gani? Na utanipatia kiasi gani kama faida kila week? Uwe tayari kunionesha wapi unaishi? Kitambulisho cha taifa mdhamini ,
Ufanye biashara faida upatayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.