Atakayepingana na UCHAMBUZI huu, basi atakuwa siyo mwanamke wala mwanaume... cjui atakuwa na Jinsia gani.
Lowassa ndio rais kwa mujibu wa kanuni ya 40 years au pungufu ya 40 years lakini siyo zaidi ya 40 years.
Bado wanaendelea kubandika. Huku kwetu walibandika jana jioni. Kituo cha hapa shule ya sekondari kisasa. Nashukuru jina langu lipo. Pia kichinjio a . k . a kikatio changu kipo salama salimin.
Napenda kuulizia utaratibu wa usomaji kwa masomo ya practical unakuwaje kwani ninapenda kusoma UWALIMU teachings subjects ni Physics na Mathematics.
Pia kipindi cha mtihani kwa somo la practical unakuwaje kwa sisi tuishio Dodoma? Maabara za Physics zipo kwenye Centre?
Naomba msaada plz.
UKAWA msikatishwe tamaa na hao wapinga umoja,kisa uchu wa madaraka. Wanaojitoa ndani ya UKAWA, wao siyo wa kwanza kwani hata hayati baba wa Taifa, alishuhudia wanaTANU na wanaASP wasiopenda mabadiliko, waliendelea kunyanyua mabango yaliyoandikwa "HATUITAKI CCM". Lakini baadae waliona maamuzi ya...
Licha ya kuwepo na uongozi imara wa waasisi wa vyama vishiriki (TANU na ASP), vilivyounda CCM, lakini bado kulikuwa na misuguano(ya kiuongozi) ndani ya vyama vishiriki. Kinachojiri kwa sasa ndani ya UKAWA ni hatua ambayo haiepukiki Kwan kuna watu wenye mapenzi na Tanzania kama Taifa..... pia...
Hata kipindi ASP na TANU zinaungana na kuunda CCM, misukosuko na migongano haikukosekana japokuwa wazee waasisi wa vyama vishiriki (TANU na ASP), walikuwa na nguvu ya ajabu.
UKAWA itahimiri misukosuko kama ilivyohimiri CCM wakati inaundwa.
Mungu ibariki UKAWA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.