Ocampo four
JF Senior Expert Member
- Feb 28, 2014
- 5,789
- 2,159
Katika uchaguzi wa mwaka huu, data kutoka NEC zinaonyesha vijana ni kete muhimu kuamua nani awe rais. Vijana waliojiandikisha ni zaidi ya asilimia 57% kitu ambacho kinafanya kuwa kundi maalum la kuamua huu uchaguzi...
Hili ndio kundi analokubalika zaidi Lowassa. Lowassa kwa muda mrefu kajenga uhusiano binafsi na vijana wa bodaboda, machinga, mamantilie. Vijana wasio na ajira. Vijana ambao ni wakulima, wafugaji, wavuvi nk..
Lowassa katokea kupendwa na vijana kila kona nchi. Vijana wana mahaba na mapenzi makubwa kwa Lowassa. Hata mikutano yake vijana huonyesha shamrashamra kubwa sana...
Kwa hali hiyo na kwa mahesabu hayo na kwa data hizo za NEC, hakuna jinsi Lowassa akashindwa kwenye huu uchaguzi.... Hakuna
Hili ndio kundi analokubalika zaidi Lowassa. Lowassa kwa muda mrefu kajenga uhusiano binafsi na vijana wa bodaboda, machinga, mamantilie. Vijana wasio na ajira. Vijana ambao ni wakulima, wafugaji, wavuvi nk..
Lowassa katokea kupendwa na vijana kila kona nchi. Vijana wana mahaba na mapenzi makubwa kwa Lowassa. Hata mikutano yake vijana huonyesha shamrashamra kubwa sana...
Kwa hali hiyo na kwa mahesabu hayo na kwa data hizo za NEC, hakuna jinsi Lowassa akashindwa kwenye huu uchaguzi.... Hakuna