Ndugu mtoa mada nakushauri urudi tena kusoma historia ya waarabu kabla ya dini ya uislam .
ila ukosome ukiwa huru kabisa kifikra namaanisha usisome ukiwe na chuki na uislam halafu urud tena utoe maoni yako.
badilisha taswira ya kilimo kwa kuwasoma waliofanikiwa kupitia kilimo like page yetu https://www.facebook.com/pages/Kilimo-biashara/1601207576795194?fref=nf
Wanasisasa vijana ni wakati wakuiga mafundisho ya babu tumieni wknd zenu kusoma na kufundishana siasa tumechoka siasa za kishabiki tunataka siasa za ushindani wa maendeleo
MAELEZO YA KATIBU MKUU WA CUF NA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS, MAALIM SEIF SHARIF HAMAD, KWENYE MKUTANO NA VYOMBO VYA HABARI
DAR ES SALAAM SERENA HOTEL, 10 MEI, 2015
Ndugu zangu Wahariri na Waandishi wa Habari,
Assalam Alaykum.
Awali ya yote, hatuna budi kumshukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.