Waarabu wangekuwa mbali kama isingekuwa kuchanganya dini na siasa

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,321
Historia inasema watu wa kwanza kuelimika na kustaarabika ni waarabu. Hata wazungu hawakua wanawakaribia kwa ustaarabu na maendeleo.

Kilichokuja kuwarudisha nyima waarabu ni dini. Walipoanza kuchanganya dini kwenye kila kitu hapo ndio walipoanzia kurudi nyuma na wazungu kushika hatamu.

Dini za asili zilikuwepo katika jamii zote, na kuna nyingine zilipelekwa na watu ila wazungu walikua wajanja, wakaweka dini pembeni kua ni jambo la mtu binafsi. Waarabu wakafanya dini kua maisha, kila kitu kiamuliwe na dini.

Dini mara nyingi haihamasishi kua na mawazo huru, dini inataka kila kitu soluhisho la kila jambo litoke kwake, dini inataka iwe ndio suluhisho la matatizo yako, uaiwaze, usihangaishe akili yako maana dini inataka ifanye hvyo kwa ajili yako. Bado ukikimbilia dini haikupi suluhisho la matatizo yako, dini inakupa matumaini na kukutaka uamini kua matatizo yako mungu anayaona na atakulipa huko mbinguni.

Waarabu wakaikumbatia dini, wakaifanya dini iwe ndio kila kitu katika maisha yao, dini ifikiri na itoe majawabu ya matatizo yao. Wazungu walipogundua hilo wakatenganisha dini na siasa.

Isingekua dini waarabu wangekua ndio jamii iliyoendelea na kustaarabika zaidi Duniani.

Mada inaendeles.
 
DINI imewaharibu sana ndugu zetu laiti wangejua tuu. Nafahamu ni vigumu kutambua hili manake shetani ameweka kizingiti kikubwa sana kwa hawa. Tuzidi kuombeana makake amani yetu inategemea pia nini kinafanywa na watu wengine popote walipo. Wengi wamekubali kuwa makatibu wa ibilisi.
 
Imani ni kitu kingine kabisa.

Imani uhamisha milima,
Imani ujenga nyumba,
Imani inampa mtu chakula,
Imani inampeleka mtu peponi,
Imani inamfanya mtu kumkata mwenzake kichwa.


>> hiyo ndiyo imani bana acha kabisa.
 
Historia inasema watu wa kwanza kuelimika na kustaarabika ni waarabu. Hata wazungu hawakua wanawakaribia kwa ustaarabu na maendeleo.

Kilichokuja kuwarudisha nyima waarabu ni dini. Walipoanza kuchanganya dini kwenye kila kitu hapo ndio walipoanzia kurudi nyuma na wazungu kushika hatamu.

Dini za asili zilikuwepo katika jamii zote, na kuna nyingine zilipelekwa na watu ila wazungu walikua wajanja, wakaweka dini pembeni kua ni jambo la mtu binafsi. Waarabu wakafanya dini kua maisha, kila kitu kiamuliwe na dini.

Dini mara nyingi haihamasishi kua na mawazo huru, dini inataka kila kitu soluhisho la kila jambo litoke kwake, dini inataka iwe ndio suluhisho la matatizo yako, uaiwaze, usihangaishe akili yako maana dini inataka ifanye hvyo kwa ajili yako. Bado ukikimbilia dini haikupi suluhisho la matatizo yako, dini inakupa matumaini na kukutaka uamini kua matatizo yako mungu anayaona na atakulipa huko mbinguni.

Waarabu wakaikumbatia dini, wakaifanya dini iwe ndio kila kitu katika maisha yao, dini ifikiri na itoe majawabu ya matatizo yao. Wazungu walipogundua hilo wakatenganisha dini na siasa.

Isingekua dini waarabu wangekua ndio jamii iliyoendelea na kustaarabika zaidi Duniani.

Mada inaendeles.
Jifunze maneno ya Kiswahili na maana zake.

Mwarabu halafu utakuwaje umestaarabika?

Ustaarabu = Arabic influence.

Umeelewa kosa ulilofanya?

Ungesema watu wamestaarabika na wameelimika kutokana na Waarabu au wamestaarabishwa na kuelimishwa na Waarabu.

Yapaswa uelewe pia Uarabu siyo taifa au kabila ni utamaduni wa Mataifa.
 
enyewe wazungu waliacha mambo ya dini baad ya kushindwa kwenye vita ya crusade,wakaona waachane na mhemko,sasa vita vyao vya dini wanavipigana kiakili sana


Hivi wazungu walishindwa kwenye vita ya msalaba kumbe?

Mbona huwa wanajisifia sana kuwa walishinda?
 
Historia inasema watu wa kwanza kuelimika na kustaarabika ni waarabu. Hata wazungu hawakua wanawakaribia kwa ustaarabu na maendeleo.

Kilichokuja kuwarudisha nyima waarabu ni dini. Walipoanza kuchanganya dini kwenye kila kitu hapo ndio walipoanzia kurudi nyuma na wazungu kushika hatamu.

Dini za asili zilikuwepo katika jamii zote, na kuna nyingine zilipelekwa na watu ila wazungu walikua wajanja, wakaweka dini pembeni kua ni jambo la mtu binafsi. Waarabu wakafanya dini kua maisha, kila kitu kiamuliwe na dini.

Dini mara nyingi haihamasishi kua na mawazo huru, dini inataka kila kitu soluhisho la kila jambo litoke kwake, dini inataka iwe ndio suluhisho la matatizo yako, uaiwaze, usihangaishe akili yako maana dini inataka ifanye hvyo kwa ajili yako. Bado ukikimbilia dini haikupi suluhisho la matatizo yako, dini inakupa matumaini na kukutaka uamini kua matatizo yako mungu anayaona na atakulipa huko mbinguni.

Waarabu wakaikumbatia dini, wakaifanya dini iwe ndio kila kitu katika maisha yao, dini ifikiri na itoe majawabu ya matatizo yao. Wazungu walipogundua hilo wakatenganisha dini na siasa.

Isingekua dini waarabu wangekua ndio jamii iliyoendelea na kustaarabika zaidi Duniani.

Mada inaendeles.

NATAKA NIKUJIBU WEWE MGALATIA UNAETOLEWA PEPO ZA UONGO KWA WACHUNGAJI; USTAARABU UPO KWA WAARABU MAENDELEO YAPO KWA WAARABU DINI YAKISLAAM NDIO IMELETA USTAARABU MAFUNDISHO HUKUMU NAMNA YA KUISHI. NAJUA HUJATEMBEA MIJI UKAONA WEWE MWISHO KUTEMBEA NI MBANDE.WAARABU NI MATAJIRI DUNIANI HILO WAZUNGU WANAJUA SANA UKIENDA FALME ZA KIARABU MZUNGU ANAMPIGIA SALUTE MWARABU UTAJIRI WA MWARABU SIO SERIKALI TU MPAKA WANANCHI WANAKULA RAHA.DINI IMELETA USAWA NA HAKI. UKIENDA NCHI ZA KIARABU NDIO WENYE BARABARA NZURI MAJUMBA MAZURI MAGARI MAZURI MUNGU KAWAPA KWASABABU YA DINI YAO: mungu kasema ukishika dini yake atakufungulia kila kitu: wewe kaa unalia hali ngumu kula makande


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Historia inasema watu wa kwanza kuelimika na kustaarabika ni waarabu. Hata wazungu hawakua wanawakaribia kwa ustaarabu na maendeleo.

Kilichokuja kuwarudisha nyima waarabu ni dini. Walipoanza kuchanganya dini kwenye kila kitu hapo ndio walipoanzia kurudi nyuma na wazungu kushika hatamu.

Dini za asili zilikuwepo katika jamii zote, na kuna nyingine zilipelekwa na watu ila wazungu walikua wajanja, wakaweka dini pembeni kua ni jambo la mtu binafsi. Waarabu wakafanya dini kua maisha, kila kitu kiamuliwe na dini.

Dini mara nyingi haihamasishi kua na mawazo huru, dini inataka kila kitu soluhisho la kila jambo litoke kwake, dini inataka iwe ndio suluhisho la matatizo yako, uaiwaze, usihangaishe akili yako maana dini inataka ifanye hvyo kwa ajili yako. Bado ukikimbilia dini haikupi suluhisho la matatizo yako, dini inakupa matumaini na kukutaka uamini kua matatizo yako mungu anayaona na atakulipa huko mbinguni.

Waarabu wakaikumbatia dini, wakaifanya dini iwe ndio kila kitu katika maisha yao, dini ifikiri na itoe majawabu ya matatizo yao. Wazungu walipogundua hilo wakatenganisha dini na siasa.

Isingekua dini waarabu wangekua ndio jamii iliyoendelea na kustaarabika zaidi Duniani.

Mada inaendeles.
Mbona wazungu wamechanga dini na siasa? Sikubaliani na hoja yako, jifunze siasa ya dunia ndo utajua je waarabu wanatumiwaje kuwanufaisha wazungu, angalia Venezuela inakuwa mabeberu yanamtambua mwanachama wa upinzani kama Rais wa nchi? Kisa mafuta mbona Somalia wameshindwa kuingia wamalize mgogoro kwanini hakuna rasilimali ya kurudisha gharama ya vita watakayoingia hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo
Kila penye waislamu lazima pawe na vurugu za kiimani,hata Kama wawe waislamu tupu 100%

Mohammed hajui kusoma wala kuandika
Siyo hajui sema hakujua,haya tupe uthibitisho wa vurugu za kiima katika nchi hizi kama mfano Brunei pamoja na England
 
Ustaarabu ni tabia, watu wengi waliostaarabika maisha yao ni duni ila kwa kuwa wazungu washazichafua akili zetu kwa ukoloni na media leo hii maana ya ustaarabu hatujui. Wapo waliostaarabika ambao vyoo vyao bado vina pazia la gunia lkn ni wasafi wanachambia maji sio wale wa makaratasi ambao jua likipiga nyuzi joto 30 kuendelea vitu huanza kuyeyuka na kuleta harufu ya ajabu ajabu, kuwa na maendeleo sio kustaarabika.
 
@MASAMILA,ile vita ilichukua takribani miaka 700,hadi inakwisha mzungu alikuwa hana hamu tena na vita vya dini, kumbuka lengo ilikuwa waikomboe jerusalem,ilishindikana
 
Jifunze maneno ya Kiswahili na maana zake.

Mwarabu halafu utakuwaje umestaarabika?

Ustaarabu = Arabic influence.

Umeelewa kosa ulilofanya?

Ungesema watu wamestaarabika na wameelimika kutokana na Waarabu au wamestaarabishwa na kuelimishwa na Waarabu.

Yapaswa uelewe pia Uarabu siyo taifa au kabila ni utamaduni wa Mataifa.
Rudi darasani tena mkubwa. Haya yote yanayojiita mataifa ya kiarabu na raia wake wakiwa ni waarabu ni kitu gani?
Hivi hadi mnafaulu chuo na kuvaa majoho mlienda kusomea ujinga?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Historia inasema watu wa kwanza kuelimika na kustaarabika ni waarabu. Hata wazungu hawakua wanawakaribia kwa ustaarabu na maendeleo.

Kilichokuja kuwarudisha nyima waarabu ni dini. Walipoanza kuchanganya dini kwenye kila kitu hapo ndio walipoanzia kurudi nyuma na wazungu kushika hatamu.

Dini za asili zilikuwepo katika jamii zote, na kuna nyingine zilipelekwa na watu ila wazungu walikua wajanja, wakaweka dini pembeni kua ni jambo la mtu binafsi. Waarabu wakafanya dini kua maisha, kila kitu kiamuliwe na dini.

Dini mara nyingi haihamasishi kua na mawazo huru, dini inataka kila kitu soluhisho la kila jambo litoke kwake, dini inataka iwe ndio suluhisho la matatizo yako, uaiwaze, usihangaishe akili yako maana dini inataka ifanye hvyo kwa ajili yako. Bado ukikimbilia dini haikupi suluhisho la matatizo yako, dini inakupa matumaini na kukutaka uamini kua matatizo yako mungu anayaona na atakulipa huko mbinguni.

Waarabu wakaikumbatia dini, wakaifanya dini iwe ndio kila kitu katika maisha yao, dini ifikiri na itoe majawabu ya matatizo yao. Wazungu walipogundua hilo wakatenganisha dini na siasa.

Isingekua dini waarabu wangekua ndio jamii iliyoendelea na kustaarabika zaidi Duniani.

Mada inaendeles.
Na dubai, Quatar, UAE zimo? Mbona zimeendelea sana hata kuzidi baadhi ya nchi za ulaya kama poland.Dubai hakuna mafukara kama sisi.hadi chandarua tunashindwa kununua na wameshika dini,.Rejea libya na misri ya miaka ya 90.
 
Historia inasema watu wa kwanza kuelimika na kustaarabika ni waarabu. Hata wazungu hawakua wanawakaribia kwa ustaarabu na maendeleo.

Kilichokuja kuwarudisha nyima waarabu ni dini. Walipoanza kuchanganya dini kwenye kila kitu hapo ndio walipoanzia kurudi nyuma na wazungu kushika hatamu.

Dini za asili zilikuwepo katika jamii zote, na kuna nyingine zilipelekwa na watu ila wazungu walikua wajanja, wakaweka dini pembeni kua ni jambo la mtu binafsi. Waarabu wakafanya dini kua maisha, kila kitu kiamuliwe na dini.

Dini mara nyingi haihamasishi kua na mawazo huru, dini inataka kila kitu soluhisho la kila jambo litoke kwake, dini inataka iwe ndio suluhisho la matatizo yako, uaiwaze, usihangaishe akili yako maana dini inataka ifanye hvyo kwa ajili yako. Bado ukikimbilia dini haikupi suluhisho la matatizo yako, dini inakupa matumaini na kukutaka uamini kua matatizo yako mungu anayaona na atakulipa huko mbinguni.

Waarabu wakaikumbatia dini, wakaifanya dini iwe ndio kila kitu katika maisha yao, dini ifikiri na itoe majawabu ya matatizo yao. Wazungu walipogundua hilo wakatenganisha dini na siasa.

Isingekua dini waarabu wangekua ndio jamii iliyoendelea na kustaarabika zaidi Duniani.

Mada inaendeles.

Umesahau wanafuga na majini, mashetwani wakisahau kufuga mifugo inayoliwa kama kuku, ktmoto nk
 
Back
Top Bottom