Huyo ndugu yako naye ni jasiri! Unakutana na mtu kwenye dating site, hujawahi kukutana naye uso kwa uso, halafu anakukatia tiketi ya ndege unaenda nchi ya mbali kwa sababu ya mapenzi na mtu uliyewasiliana naye nyuma ya keyboard tu. Unakula chakula anachokuandalia, kila kitu anakufanyia yeye...
Sababu zipo nyingi mkuu, lakini hiyo ni mojawapo kuondoa hofu ya uhamiaji haramu. Kuna sababu nyingine kama kuthibitisha safari yako kama ni ishu ya kutembelea familia, charity nk, lakini pia kuthibitisha muda wa kukaa, kuonyesha uhusiano wako na mwenyeji wako kama ni shirika, mtu binafsi nk...
Invitation letter anaandika mwenyeji wako huko unakoenda. Just kuthibitisha kuwa yeye ndiye anakupokea, usije zamia nchi za watu kama mhamiaji haramu😀😀
Jaribuni pia kumkazania lugha moja, msimchanganyie lugha, kiswahili, kingereza mara mother tongue language kwa huo umri mdogo, inamchanganya mtoto na atashindwa kujiamini kuwa ashike ipi. By the way kwa umri huo bado mdogo, Mungu atamsaidia ataongea tu wakati wake ukifika wa kuongea.
Sijakuelewa kwasababu majibu yako ni agree to disagree. Mara nenda kwa mtumishi, kama yuko mbali mtumishi anatosha, akiwa karibu mtumishi atamfuata. Hakuna straight forward answer ambalo linajibu hoja in specific way.
Bado hujanijibu swali langu, je mtu akiwa nchi ya mbali au mlikutana kwa emergency na hamjuani ndio habari ikaishia hapo na hakuna mawasiliano, na hujui ana mume au hana! Hoja yangu ndio iko hapo na hujajibu.
Unaonaje hayo maandamano yakaanza na kushinikiza kuachiwa kwa mateka wanaoshikiliwa na hamasi akiwemo mtanzania mwenzetu na mpaka saivi hatujui alipo au walipo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.