Recent content by Think Hard

  1. T

    Jamani wanaume wana upendo sana kwa wanawake!

    Yani Mwanaume jinsi alivyo na upendo kwa wanawake...!!! Hivi unajua mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 100 achague mmoja kati yao!! Hata akichagua mzuri kupita wote bado roho itamuuma sana kuwaacha wale 99 waliobaki!!!?? Jamani acha tu Mungu awabariki sana wanaume kwa upendo wa aina hii...
  2. T

    Nimeolewa ila nimefall kwa jamaa

    Pole sana....hali hiyo inawatokea wanawake wengi sana, Kifupi tu hilo ni pepo la usinzi linakuandama na soon usipokua makini na ndoa yako itakua historia. Na mbaya zaidi hutakaa uwe na amani. Huyo mwanaume unaemsifia, am telling you, huyo ni kahaba wa kutupwa na pengine ameshatembea au...
  3. T

    Land cruiser ya utalii

    Arusha na Moshi wanafanya hiyo kazi..Kampuni zinazojulikana sana ni Rajinder Motors (Moshi) Na Hanspaul(Arusha) Hizo kampuni bei zao ziko juu sana....kuna makampuni madogomadogo ambazo bei zao ziko chini kidogo....ila andaa sio chini ya mill 12
  4. T

    Special kwa wadada: Ushauri mtamu

    SPECIAL KWA WADADAS...Ni ndefu lakini jitahidi kusoma...utajifunza kitu kizuri sana...... Jamani enyi wada nisiwafiche, watu wengi huchangia sherehe ili waje kula na kunywa na kuoneshana fahari, ukoo wa Mume na ukoo wa mke nao wanaoneshana umwamba hawa kwenye Send-off na hawa wanajibu kwenye...
  5. T

    Sitokuja nisahau hii kamwee!

    Sasa ndugu unadhani wataishaje wakati mwanaume kama wewe upo?? Na bado...hata huyo uliyekua nae kua makini...wewe jaribu kumchunguza..
  6. T

    Angalizo kwa mabinti, msipuuze, ushauri tu

    Mimi sikukatazi kutumia mwili wako kama kitega uchumi. Sikukatazi kulala na wanaume kwaajili ya pesa, mavazi, vipodozi na hata magari. Lala na kila mwanaume unayemwona mbele yako. Endelea tu kubadili wanaume kama hereni leo unavaa nyekundu kesho pinki. Endelea kuweka rekodi ya kulala kwenye...
  7. T

    Mnakumbuka enzi hizo za Radio Tanzania? Hii beat unamkumbuka Mtangazaji Yupi?

    Wakuu unakumbuka enzi za Radio Tanzania? Sikiliza hiyo beat halafu ikukumbushe Mtangazaji gani.
  8. T

    Wanaume, hivi vitu vinatukera sana sisi wakinadada

    Pole sana kama wanakukera...umesema ya moyoni..ila kama ni kwenye mavazi...basi ninyi mnakera zaidi aisee
  9. T

    Utafiti: Wanawake wafupi wenye mwili mdogo

    Kama kuna kaukweli hivi.....
  10. T

    Nmekuja kuamka Siku ya Pili nimevaa boxer tu. akina dada na wanaume wenzangu chondechonde

    Hii story ni ya uongo ila itawafundishaa badhi ya Mafuska humu..
  11. T

    7 Reasons Why Africans Are Poor and How to Be Rich In Africa - Africa Business Classroom (ABC)

    Hii Imenigusa..... *most will not even bother to read this* 1. Most Africans are religious, but not spiritual. I don`t know why I started here but let`s move on anyway. Religion is a significant part of Africans, but unfortunately, an average African really doesn`t know how God works. Most...
  12. T

    Nina damu group O+, Ufafanuzi kuhusu group hii

    Ndugu yangu wewe mwenye O+ utakua unapendwa sana kung'atwa na mbu...wewe jaribu siku moja ukae mahali penye mbu na mtu mwenye damu group tofauti...mbu watakushambulia wewe zaidi...
  13. T

    Jifunze kumuacha aende

    Hii nimeitoa mahali… Soma itakusaidia Sanaa! • Kamwe usihisi kama ulimwengu ndio unakaribia mwisho pale akupendae anapokuacha. MUACHE AENDE ! • Kujaribu kumlazimisha mtu akupende ni sawa na kujaribu kumlazimisha Nguruwe kutambua usafi na uzuri. Usimlazimishe akupende, mwache mwenyewe...
  14. T

    Kusamehe ni mtihani, jitahidi uushinde

    Pole sana Gololi One..Kiukweli natambua ni vigumu sana sana kusamehe kwa akili ya kibinadamu..Lakini naamini kabisa ukiwa serious na dhamira ya dhati wa kusamehe nakuhakikishia inawezekana.. Kukubwa mshirikishe Mungu na ufikirie kwa undani zaidi mateso unayoendelea kupata pindi tu unapomkumbuka...
Back
Top Bottom