Recent content by TheOptimist

  1. T

    Sakata Kibanda: CCM Mkoa Maalum watoa tamko, wamuweka pabaya Dr. Slaa!

    Wewe Gwakisa ni ----- sana. Kwani mtu akitajwa kuhusika na kitu fulani inakuwa tayari huo ni ushahidi?
  2. T

    Safari ya JK Monduli, Nape una maoni gani?

    Mnakalia kumjadili Nape na Mramba mnawaacha Ole Sendeka na Zitto ambao pia ni watuhumiwa wa rushwa
  3. T

    Safari ya JK Monduli, Nape una maoni gani?

    Kutuhumiwa na kupatikana na hatia ni mambo mawili tofauti
  4. T

    Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

    Huu ni ujinga. Barabara za feeder zinajengwa maeneo mbalimbali. Huna macho au hutembei. Halafu una negative attitude bila kuangallia vizuri faida zilizopo.
  5. T

    Edward Lowassa: Tatizo ni uwaziri mkuu (tafadhari isome hii)

    Watu wengine sijui kwanini badala ya kujenga hoja mnakalia kudhani watu wana akili mgando. Wewe unatukana watanzania kuwa akili zao ziko kwenye chupa ya Mucolyn halafu kwa kujiamini. Wewe ni mpumbavu.
  6. T

    Leticia Musore wa CHADEMA ahamia NCCR

    Chadema kuna mambo ya ukabila na undugu sana tu. Mke Tundu Lissu na Dr. Slaa wamepewa ubunge viti maalum. Lucy Owenya na binti wa Ndesamburo na Grace Kihwelu ni mkwe wake
  7. T

    Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

    Kiukweli wabongo wengi hasa wasichana wanatumia sana Facebook kuuza sura na hatimaye kupata mahusiano ambayo mara nyingi huwa sio serious lakini eventually baadhi zinakuwa kweli
Back
Top Bottom