Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma thread vizuri, inaelekea hujamuelewa kabisa Mwea. Mleta mada anawapinga watu wanomtetea EL kuwa ni mchapa kazi na mwenye maamuzi magumu. Ametoa mfano wa Mwakyembe kuwa nae ni jembe na si lazima awe huyo EL pekee.
Mwaka 2005 wakati Jakaya Kikwete anagombea Urais ilijulikana wazi kuwa kama angepata Urais basi Lowassa Ngoyai Edward angekuwa Wazir Mkuu- "YAKATIMIA"
Au kama Prof Mark Mwandosya angepata Urais basi Dr Harrison Mwakyembe angeukwaa Uwazir mkuu- "HAYAKUTIMIA"
Ili kutihibitisha hili- Wakati Dr Harrison anakabidhiwa jukumu la kuifatilia sakata lile mpaka tupo njia panda (Richmond) alimwambia Lowasa ajitetee- na Mkuu huyu wakati anajitetea alisema " TATIZO NI HUU UWAZIRI MKUU"
Hii ni kumaanisha kuwa ilikuwa ni Vita ya Madaraka ya Utendaji mkuu kabisa wa serikali na Lowasa alijiona anaonewa WIVU.
UHALISIA......
Kumekuwa na dhana kwa baadhi ya watu kuwa Lowasa ndie suluhisho la MATATIZO ya WATZ na ni mtu mwenye MAAMUZI MAGUMU
KULIKO KIONGOZI YEYOTE!!
DR MWAKYEMBE kakabidhiwa Rungu (UWAZIRI KAMILI) anaonyesha uwezo wake wa utendaji kazi kwa kufanya kile kilichokuwa kinafichwa kwa kuwekwa chini ya fulani.
JE HATUJIONI KUWA SASA NI MUDA MUAFAKA WA KUAMINI NCHI HII INAVIONGOZI WENGI MAHIRI NA WENYE MAAMUZI YENYE TIJA KWA TAIFA NA madailiko hayaletwi na mtu mmoja tu ni SISI SOTE NDIO TUTAIBADLISHA TZ pia yatupasa tubadilishe ule msimamo MGANDO uliopo na FIKRA zetu zilizopo kwenyekijichupa cha MUCOLYNE kuwa Suluhisho ni huyo jamaa - Lowasa..........!!?
Nahakika kwamba nimekuelewa vizuri, ninajibu kile ulichokiwasilisha hapa, bila kujali unafikiria nini, post yako inajenga hoja kwamba tunao watanzania wanaoweza kututoa hapa tulipo ndani ya CCM una mpoint out mwakyembe kama mfano, THIS IS WHAT MAKE ME SICK.Sangarara embu soma tena vzr uenda hujaelewa nini kinaongelewa.
Nenda kamwambie Mwakyembe atuambie yote yanayohusu Richmond maana alisema aliyaacha ili kuilinda serikali ya kikwete akasahau kuwa alitumwa na watanzania na watanzania bado wanataka kujua ukweli wa Richmond.....Vinginevyo gharama zote alizoliingiza taifa kwa taarifa yake ya Richmond zina mhusu atuonee huruma alipe angarau robo yake....Mwaka 2005 wakati Jakaya Kikwete anagombea Urais ilijulikana wazi kuwa kama angepata Urais basi Lowassa Ngoyai Edward angekuwa Wazir Mkuu- "YAKATIMIA"
Au kama Prof Mark Mwandosya angepata Urais basi Dr Harrison Mwakyembe angeukwaa Uwazir mkuu- "HAYAKUTIMIA"
Ili kutihibitisha hili- Wakati Dr Harrison anakabidhiwa jukumu la kuifatilia sakata lile mpaka tupo njia panda (Richmond) alimwambia Lowasa ajitetee- na Mkuu huyu wakati anajitetea alisema " TATIZO NI HUU UWAZIRI MKUU"
Hii ni kumaanisha kuwa ilikuwa ni Vita ya Madaraka ya Utendaji mkuu kabisa wa serikali na Lowasa alijiona anaonewa WIVU.
UHALISIA......
Kumekuwa na dhana kwa baadhi ya watu kuwa Lowasa ndie suluhisho la MATATIZO ya WATZ na ni mtu mwenye MAAMUZI MAGUMU
KULIKO KIONGOZI YEYOTE!!
DR MWAKYEMBE kakabidhiwa Rungu (UWAZIRI KAMILI) anaonyesha uwezo wake wa utendaji kazi kwa kufanya kile kilichokuwa kinafichwa kwa kuwekwa chini ya fulani.
JE HATUJIONI KUWA SASA NI MUDA MUAFAKA WA KUAMINI NCHI HII INAVIONGOZI WENGI MAHIRI NA WENYE MAAMUZI YENYE TIJA KWA TAIFA NA madailiko hayaletwi na mtu mmoja tu ni SISI SOTE NDIO TUTAIBADLISHA TZ pia yatupasa tubadilishe ule msimamo MGANDO uliopo na FIKRA zetu zilizopo kwenyekijichupa cha MUCOLYNE kuwa Suluhisho ni huyo jamaa - Lowasa..........!!?
Mwaka 2005 wakati Jakaya Kikwete anagombea Urais ilijulikana wazi kuwa kama angepata Urais basi Lowassa Ngoyai Edward angekuwa Wazir Mkuu- "YAKATIMIA"
Au kama Prof Mark Mwandosya angepata Urais basi Dr Harrison Mwakyembe angeukwaa Uwazir mkuu- "HAYAKUTIMIA"
Ili kutihibitisha hili- Wakati Dr Harrison anakabidhiwa jukumu la kuifatilia sakata lile mpaka tupo njia panda (Richmond) alimwambia Lowasa ajitetee- na Mkuu huyu wakati anajitetea alisema " TATIZO NI HUU UWAZIRI MKUU"
Hii ni kumaanisha kuwa ilikuwa ni Vita ya Madaraka ya Utendaji mkuu kabisa wa serikali na Lowasa alijiona anaonewa WIVU.
UHALISIA......
Kumekuwa na dhana kwa baadhi ya watu kuwa Lowasa ndie suluhisho la MATATIZO ya WATZ na ni mtu mwenye MAAMUZI MAGUMU
KULIKO KIONGOZI YEYOTE!!
DR MWAKYEMBE kakabidhiwa Rungu (UWAZIRI KAMILI) anaonyesha uwezo wake wa utendaji kazi kwa kufanya kile kilichokuwa kinafichwa kwa kuwekwa chini ya fulani.
JE HATUJIONI KUWA SASA NI MUDA MUAFAKA WA KUAMINI NCHI HII INAVIONGOZI WENGI MAHIRI NA WENYE MAAMUZI YENYE TIJA KWA TAIFA NA madailiko hayaletwi na mtu mmoja tu ni SISI SOTE NDIO TUTAIBADLISHA TZ pia yatupasa tubadilishe ule msimamo MGANDO uliopo na FIKRA zetu zilizopo kwenyekijichupa cha MUCOLYNE kuwa Suluhisho ni huyo jamaa - Lowasa..........!!?
Kwa akili zako (kabla ya rushwa kuingia) huamini kama Richmond ni tatizo la kweli, na Lowassa anahusika?Mwaka 2005 wakati Jakaya Kikwete anagombea Urais ilijulikana wazi kuwa kama angepata Urais basi Lowassa Ngoyai Edward angekuwa Wazir Mkuu- "YAKATIMIA"
Au kama Prof Mark Mwandosya angepata Urais basi Dr Harrison Mwakyembe angeukwaa Uwazir mkuu- "HAYAKUTIMIA"
Ili kutihibitisha hili- Wakati Dr Harrison anakabidhiwa jukumu la kuifatilia sakata lile mpaka tupo njia panda (Richmond) alimwambia Lowasa ajitetee- na Mkuu huyu wakati anajitetea alisema " TATIZO NI HUU UWAZIRI MKUU"
Hii ni kumaanisha kuwa ilikuwa ni Vita ya Madaraka ya Utendaji mkuu kabisa wa serikali na Lowasa alijiona anaonewa WIVU.
UHALISIA......
Kumekuwa na dhana kwa baadhi ya watu kuwa Lowasa ndie suluhisho la MATATIZO ya WATZ na ni mtu mwenye MAAMUZI MAGUMU
KULIKO KIONGOZI YEYOTE!!
DR MWAKYEMBE kakabidhiwa Rungu (UWAZIRI KAMILI) anaonyesha uwezo wake wa utendaji kazi kwa kufanya kile kilichokuwa kinafichwa kwa kuwekwa chini ya fulani.
JE HATUJIONI KUWA SASA NI MUDA MUAFAKA WA KUAMINI NCHI HII INAVIONGOZI WENGI MAHIRI NA WENYE MAAMUZI YENYE TIJA KWA TAIFA NA madailiko hayaletwi na mtu mmoja tu ni SISI SOTE NDIO TUTAIBADLISHA TZ pia yatupasa tubadilishe ule msimamo MGANDO uliopo na FIKRA zetu zilizopo kwenyekijichupa cha MUCOLYNE kuwa Suluhisho ni huyo jamaa - Lowasa..........!!?
Mistari michache imemshinda kuelewa, hivi katiba itakuwaje?Sangarara embu soma tena vzr uenda hujaelewa nini kinaongelewa.
Mwaka 2005 wakati Jakaya Kikwete anagombea Urais ilijulikana wazi kuwa kama angepata Urais basi Lowassa Ngoyai Edward angekuwa Wazir Mkuu- "YAKATIMIA"
Au kama Prof Mark Mwandosya angepata Urais basi Dr Harrison Mwakyembe angeukwaa Uwazir mkuu- "HAYAKUTIMIA"
Ili kutihibitisha hili- Wakati Dr Harrison anakabidhiwa jukumu la kuifatilia sakata lile mpaka tupo njia panda (Richmond) alimwambia Lowasa ajitetee- na Mkuu huyu wakati anajitetea alisema " TATIZO NI HUU UWAZIRI MKUU"
Hii ni kumaanisha kuwa ilikuwa ni Vita ya Madaraka ya Utendaji mkuu kabisa wa serikali na Lowasa alijiona anaonewa WIVU.
UHALISIA......
Kumekuwa na dhana kwa baadhi ya watu kuwa Lowasa ndie suluhisho la MATATIZO ya WATZ na ni mtu mwenye MAAMUZI MAGUMU
KULIKO KIONGOZI YEYOTE!!
DR MWAKYEMBE kakabidhiwa Rungu (UWAZIRI KAMILI) anaonyesha uwezo wake wa utendaji kazi kwa kufanya kile kilichokuwa kinafichwa kwa kuwekwa chini ya fulani.
JE HATUJIONI KUWA SASA NI MUDA MUAFAKA WA KUAMINI NCHI HII INAVIONGOZI WENGI MAHIRI NA WENYE MAAMUZI YENYE TIJA KWA TAIFA NA madailiko hayaletwi na mtu mmoja tu ni SISI SOTE NDIO TUTAIBADLISHA TZ pia yatupasa tubadilishe ule msimamo MGANDO uliopo na FIKRA zetu zilizopo kwenyekijichupa cha MUCOLYNE kuwa Suluhisho ni huyo jamaa - Lowasa..........!!?
Yaani siku tu CCM ikitoka madarakani naahidi kutembea uchi barabarani sijalishi chama gani kitachukua maana nimeshakichoka kwakweli sijui kwanini halafu nahisi itaniletea ugonjwa maana nikimuona mtu anashabikia CCM namchukia kweli hata akiwa ndugu yangu.
Sasa hivi nimeanza kumchukia Mama yangu maana hasikii la nani wala nini CCM na yeye damu damu nimejitahidi kumuelewesha hataki nahisi kumchukia kweli halafu sasa ni fundi chereheni juzi walikuja watu wa TRA kumfungia kibanda chake anatakiwa alipe kodi na fine kibao ambacho hakendani na kipato chake karibia laki saba ni kamuambia yote hayo ni ile kura yako ya 2010 hataki kusikia jamani sijui nifanyeje?
Mbaya zaidi kuna classmates nimesoma nao chuo bado wako mtaani halafu bado wanaishabikia CCM mmoja wao nilimuona kwenye gazeti kuhusu vijana wa CCM wa vyuo vikuu waandamana na nape kuwapokea kwa kumpongeza raisi yale wale walishamaliza siku nyingi vyuoni kuna wawili nilikuwa nawajua mmoja alimaliza mwaka 2008 na mwingine 2010 yaani kwa njaa zao wakakubali kuandamana nimewachukia kweli E mungu nisaidie hali hii isiendelee maana itanitenga na wengi sana ki ukweli siasa si iwezi inanifanya niwe na chuki sana na watu.
Yaani siku tu CCM ikitoka madarakani naahidi kutembea uchi barabarani sijalishi chama gani kitachukua maana nimeshakichoka kwakweli sijui kwanini halafu nahisi itaniletea ugonjwa maana nikimuona mtu anashabikia CCM namchukia kweli hata akiwa ndugu yangu.
Sasa hivi nimeanza kumchukia Mama yangu maana hasikii la nani wala nini CCM na yeye damu damu nimejitahidi kumuelewesha hataki nahisi kumchukia kweli halafu sasa ni fundi chereheni juzi walikuja watu wa TRA kumfungia kibanda chake anatakiwa alipe kodi na fine kibao ambacho hakendani na kipato chake karibia laki saba ni kamuambia yote hayo ni ile kura yako ya 2010 hataki kusikia jamani sijui nifanyeje?
Mbaya zaidi kuna classmates nimesoma nao chuo bado wako mtaani halafu bado wanaishabikia CCM mmoja wao nilimuona kwenye gazeti kuhusu vijana wa CCM wa vyuo vikuu waandamana na nape kuwapokea kwa kumpongeza raisi yale wale walishamaliza siku nyingi vyuoni kuna wawili nilikuwa nawajua mmoja alimaliza mwaka 2008 na mwingine 2010 yaani kwa njaa zao wakakubali kuandamana nimewachukia kweli E mungu nisaidie hali hii isiendelee maana itanitenga na wengi sana ki ukweli siasa si iwezi inanifanya niwe na chuki sana na watu.