Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

Tukiweza kuzitumia vema bandari za nchi kavu kwa kutumia reli zetu, msongamano mkubwa unaosababishwa na malori yanayokuja kuchukua bidhaa bandarini utapungua. Tukiweza kusogeza huduma kama hizo kutoka city centre zikaenda sehemu nyingine kwa kutumia reli ili baadaye malori yaende kubeba hizo bidhaa tutasaidia kupunguza foleni.Hata hivyo kama uwezo wa kupanua barabara zetu upo, budi tufanye hivyo ili tuwiane na kasi ya ongezeko la magari.
 
Ni njia nzuri ya kupunguza foleni but iko njia nyingine kwa hapa dar ni barabara za mitaani kuwekwa rami kutapunguza pia foleni, njia nyingine ni kuweka tozo na muda wa magari kuingia mjini nayo itapunguza, na nyingine ni hii ya kujinga ya familia moja kutumia magari 6 njia moja ofissi 1 why wasitumie gari moja? Mabasi ya umma yakibeba watu wengi na kupigwa marufuku gari za umma zinazobeba watu pungufu ya 100 foleni itapungua pia watu kama watafanya kazi badala ya kuzurula
 
Nyie kila kitu kulaumu, mnatakaje sasa?

Nadhani wanalaumu ile kama serikali ikiamua kujenga barabara juu iwaaminishe watanzania kwamba foleni itakuwa hakuna maana nchi yetu ni mabingwa wa trial and error, wanafanya kitu alafu baadae wanajifunza kwamba mpango haufanyi kazi tujaribu mwingine. Nilivyomuelewa Mzee Mwanakijiji ni kama vile katoa brainstorming questions kwamba tufikirie zaidi ya hapa tunavyofikiri kwamba barabara za juu kupunguza foleni
 
Last edited by a moderator:
Zomba

Sijui Kama unaweza kuona the large picture. Barabara unazoziita Rapid tayari kuna road humps kibao? Unazungumzia speed gani? Kuna a lot of pedestrian crosses on all roads utaziondoa na huku watoto wa skuli wanomba matuta day in day out?
the distance from Magomeni up to Kinondoni junction na Ali Hasan Mwinyi is about 3km utakimbia speed gani au kutoka Shekilango kwenye kituo Hadi Magomeni also 3km utakimbia speed gani and the pedetrian crosses plus bumps, huu ndio uzumbukuku?

My friend in Dar you need another think tank hii ya ccm and it's **** achana nayo ni mawazo mgando!
Sioni Kama kuna kitakachofanyika bila kuwa na under ground roads and a lot of circle lines and this require a lot of redesign including kuhamisha na kufidia watu. You need more high rise parking lots. Go around the world and see what is happening?

If you still want people to park on the streets just forget. Kama interim solution you have to introduce city entrance fees for personal cars as high as 10,000/= per day and to do this you have to improve the size and quality of commuter buses ambayo they should be allowed minimum five minutes time for picking passengers amongst others. Haya mawazo ya kutumia na Bajaji it's a failed system iliyoshindikana Nigeria walikoanzia!,,

Kinachoongelewa si spidi ni rapidity. Jaribu kutofautisha rapid na speed.

Wewe haziongelewi bajaj hapa.
 
2 be honest kuna njia nyingi na bora zaidi za kupunguza foleni! hizo fly-overs ni either ubishoo wa Jk au ile kuuonyesha umma kuwa wanaweza "kufanya" mambo/kutimiza ahadi au itakuwa ni kauli mbiu ya kuombea kura 2015! kama ilivokuwa MACHINGA COMPLEX 2010! Lakini pia inaweza kuwa ni UJINGA WAO! Yaani mawazo yao yameishia hapo na ndio yalivo!!

Nilibahatika kufika Nairobi japo sikukaa siku nyingi lakini nilibahatika kuangalia hizo fly over jinsi zilivyo nikajiuliza hii idea ya kujenga fly over hapa Dar nikaona sijui itakuaje maana zinahitaji space ya kutosha hasa ukizingatia kuna sehemu wanalundika udongo umbali flani ili wapate slope ya kiana wakati gari linapanda. Huwa najiuliza kwa Dar sijui itakuaje na sidhani kama kuna ambao walijiuliza kuhusu hili unless kama majengo mengine mengi yavunjwe ndio mradi huu ukamilike
 
Hivi nchi ambazo zina barabara za juu kwa juu hazina msongamano wa magari? Je kuna njia nyingine rahisi ya kupunguza msongamano wa magari Jijini Dar bila kuanza ujenzi wa mabarabara ya juu kwa juu? Ni kitu gani kingine basi kilicho nyuma ya push hii ya kuwa na mabarabara ya juu kwa juu? Yawezekana ni kwa ajili ya picha (postcards) au kusema na "sisi tunazo"?

Mkjj mtasubiri hizo barabara kwa mingi ijayo...DHAIFU kama kawaida yake alikurupuka akasahau kwamba "Serikali haina uwezo"
 
brt%201.jpg

 
Mkjj mtasubiri hizo barabara kwa mingi ijayo...DHAIFU kama kawaida yake alikurupuka akasahau kwamba "Serikali haina uwezo"

Mtasema sana mambo yameanza zamani. Kilomita zaidi ya 11,000 za barabara za lami wakati wa Kikwete tu, wengine wote wa kabla yake pamoja na mkoloni wao kwa miaka 80 kilomita zisizozidi 6,000.

Sasa kaanza ma highway, ma flyover na bridge.

Na maandamano mnafanya kwa raha kwenye lami - Magufuli.

Golden_Gate_Bridge_from_underneath.jpg

New bridge to boost African trade - MediaClubSouthAfrica.com
 
Barabara za mitaa na nyingine za kuunganisha na barabara kuu ambazo zingepunguza msongamano ndio ingekuwa suluhisho. Wazungu kwao walifikia hatua hiyo baada ya kuona hakuna uwezekano mwingine, sisi jiji lina barabara kuu 10 halafu tunataka bridge and ramps wapi na wapi! Kwa ajili ya show sawa, vinginevyo ni kuongeza kero zaidi.

Hapo kwenye barabara za mitaa nakupa LIKE, tatizo Dar hata Mwanza barabara za mitaani zipo chache kiasi kwamba kama unatoka Kimara kwenda posta lazima upite Magomeni, kuwe na njia mbadala nyingi kama vile mtu anatoka Kimara au mbezi Luis anakwenda Gongolamboto apitie ndanindani kupitia Kinyerezi bila kupitia Ubungo na hata kama anakwenda Mbagala anapitia Kitunda mpaka anafika. Hili la Fly over sijui kama litapunguza foleni maana nafasi yenyewe ya kujengansijui kama itapatikana sana sana inaweza kuwa sehemu ya kupigia picha kama ilivyokuwa daraja la Manzese
 
[h=1]REHABILITATION OF ARUSHA – MINJINGU ROAD PROJECT TAKES OFF[/h]
new%20news.jpg
The contract of the Arusha – Minjingu Road Project (98 km) was signed between Tanzania National Roads Agency (TANROADS) on behalf of the Government of Tanzania and contractor SOGEA – SATOM of France on 12th May 2011.

This contract signing was done the by Acting Chief Executive of TANROADS, Eng. Patrick Mfugale and Branch Manager of contractor SOGEA – SATOM Mr. David Curtarello.

During the ceremony Eng. Patrick Mfugale cautioned the contractor that TANROADS would make a very close follow-up on the Project and emphasized them to complete the project on time.

In a brief statement Mr. David Curtarello of SOGEA – SATOM said they will do whatever is necessary to ensure the project implementation is in accordance with the contract requirement and within the time frame.

The Rehabilitation of Arusha – Minjingu Road (98 km) Project Works contract will involve:-
(i) rehabilitation of 98 km by milling and stabilizing the existing pavement, laying of 150 mm crushed stone base and 50 mm asphalt concrete (AC) surfacing;

(ii) improvement of drainage by replacing existing old culverts with new larger size ones, extending others to match the improved pavement layers and excavation of a flood diversion channels; and

provision of appropriate road safety measures to slow down traffic in built-up areas and to allow safe pedestrian crossing.

The Arusha – Minjingu Road (90 km) which is part of the Great North Corridor is fully funded by the World Bank. The rehabilitation of this project will be of a contract amount of Tshs. 75,510,520,575.86 excluding Value Added Tax (VAT) and is expected to be completed by October 2013.
 
Huu ni ujinga. Barabara za feeder zinajengwa maeneo mbalimbali. Huna macho au hutembei. Halafu una negative attitude bila kuangallia vizuri faida zilizopo.
 
Aisee Mokerema umenena maana ninavyoona hata watu wengine suala hili wamelichukua kisiasa, nadhani kuna haja bunge la 2015 serikali iweke hadharani Job Description ya wabunge maana wabunge siku hizi wamepoteza mwelekeo kwani wengine wanagawa madawati wakati kazi ya mbunge ni kuwaunganisha wananchi waweze kuchukua hatua kutokana na changamoto wanazopambana nazo.
 
Last edited by a moderator:
Hivi nchi ambazo zina barabara za juu kwa juu hazina msongamano wa magari? Je kuna njia nyingine rahisi ya kupunguza msongamano wa magari Jijini Dar bila kuanza ujenzi wa mabarabara ya juu kwa juu? Ni kitu gani kingine basi kilicho nyuma ya push hii ya kuwa na mabarabara ya juu kwa juu? Yawezekana ni kwa ajili ya picha (postcards) au kusema na "sisi tunazo"?

Tanzania zaidi ya uijuavyo
 
Magufuli atangaza ujio barabara za juu Dar
Thursday, 05 July 2012 20:26


Neville Meena na Habel Chidawali, Dodoma
Mwananchi

WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli jana aliwasilisha makadirio ya matumizi ya wizara yake kwa mwaka 2012/13 ambayo imetenga fedha kwa ajili ya maandalizi ya ujenzi wa barabara za juu (flyovers), kama moja ya hatua za kupambana na msongamano wa magari jijini Dar es Salaam.Kwa ujumla wake, miradi ya kupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam thamani yake ni Sh899.063 bilioni, lakini fedha ambazo zimetengwa katika mwaka huu wa fedha ni Sh37.578 bilioni tu sawa na asilimia 4.17 tu ya mahitaji hayo.

Dk Magufuli alisema maandalizi ya ujenzi wa barabara za juu ambayo yametengewa fedha za ndani Sh2 bilioni, unatarajiwa kuanzia katika eneo la Tazara, makutano ya Barabara za Mandela na Nyerere na ujenzi huo utafadhiliwa Serikali ya Japan kupitia shirika lake la misaada (JICA).

Waziri alisema upembuzi wa mradi huo chini ya JICA tayari umekamilika.

~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*

Matanuzi ya miaka 50 ya "uhuru" wetu, ya kununua mashangingi na DHAIFU na umati wake kwenda kubembea nchi za nje ni kiasi gani vile!?
 
Nyie kila kitu kulaumu, mnatakaje sasa?

Tunataka waweke mkakati wa ku-maintain hizi za chini ambazo zimejaa mashimo kwanza na wamalizie ambazo hazipitiki kwa sababu zinaharibika kila mara mvua inaponyesha. Hii issue ya barabara za juu kwa juu ni kwa ajili ya "hata sisi tunazo" syndrome. Nothing else!
 
Nadhani watu hamtaki kuangalia ukweli uliofichika. Mahali pote duniani ambapo Highways zimeweza kupunguza msongangamano zimeenda sambamba na uboreshwaji wa feeder roads na barabara nyingine.. mfumo mzima wa barabara unafanya kazi as a single unit. Kutengeneza mabarabara ya juu kwa juu wala siyo shida sana lakini itajikuta inatengeneza dreadlocks mpya kabisa ama wakati wa kuelekea kwenye hizo freeways au wakati wa kutoka. Mfumo wa kuingia na kutoka kwenye highways ni sehemu nzima ya kupunguza msongamano. Matumizi ya traffic lights ni njia nzuri zaidi ya kupunguza msongamano - kama watu watazitii..

wahandisi wetu wanalifahamu sana hili
kwamfano kitendo cha kuweka bus terminal pale ubungo kabla ya mataa ukitokea mjini, halafu kituo cha daladala baada ya mataa, ni chanzo cha foleni. yale mataa kama yalivyo yana punguza speed ya magari. kuingia na kutoka ubungo bus terminal kunapunguza speed ya magari, kuingia nakutoka kituo cha dala dala pia kunapunguza speed ya magari. ile ndo moja ya chanzo cha foleni yazote maeneo yanayozunguka pale ubungo mataa. sasa kuwa flyover bila feeders za kutosha ni kimeo. aidha hata kutokuwa na sheria madhubuti za uendeshaji barabarani nayo ni chanzo cha foleni. sheria ya ubora wa gari nayo ni muhimu.

tunayo mengi ambayo gharama zake ni ndogo kuliko hizi barabara za kupaa, tuyafanye kwanza hayo, baadae ndo tujenge hizo, namna nyingine ni kuongeza foleni
 
Mimi sioni kama tumefikia kiwango cha kujenga barabara za juu kwa juu,pengine kama ni projects za baadhi ya watawala kutafuta pesa na sifa za kugombea urais! Barabara zetu ni nyembamba na ni chache. Tusipanue na tujenge barabara mpya. Mabasi ya abiria mjini yatumike yenye uwezo wa kubeba zaidi ya abiria 100 kwa wakati mmoja!
Nyie kila kitu kulaumu, mnatakaje sasa?
 
Back
Top Bottom