Nilisikia wanasema kwa imani mtu atafanya kazi kwa vizur na kwa umakini Zaid kwa huo mda masaa name na kuanzia hapo Akili inakua imechoka kwa kiasi utaanza uchovu na kukoSa umakini.
Kivipi wanaweza mlea mtoto wao kwa pamoja kama Walishapanda mbegu ya mwenye ujauzito hana mawasiliano nae? Je ikitokea jamaa anafariki na kuna mali anaziacha ni mazingira gani anatengeneza kwa uyo dada na kwa damu yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa muwazi mkuu kwani ukweli Utakufanya uwe Huru na mtoto kupata Haki zake kwako pasipo maficho tena. Nenda kwa wazee ambao wako karibu na hiyo Familia kwa pamoja mkubali Mlikosea(Ukilikoroga lazima ulinywe) na wao ndio watakaa na wazazi wenu na ndgu zenu kuwafahamisha ilo na hata mkiitwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.