Kuna makosa hapo, sio saa 8 kwa wiki bali n saa 8 kwa siku.Kwa mujibu wa sheria masaa ya kufanya kazi ni masaa 8 kwa wiki. Hivyo Serikalini wanaingia saa 1.30 wanatoka saa 9.30 .
Private inategemea wanaingia saa ngapi, unashangaa hilo tu hushangai la private kwenda job hadi jumamosi!
Masaa 8 kwa sikuKwa mujibu wa sheria masaa ya kufanya kazi ni masaa 8 kwa wiki. Hivyo Serikalini wanaingia saa 1.30 wanatoka saa 9.30 .
Private inategemea wanaingia saa ngapi, unashangaa hilo tu hushangai la private kwenda job hadi jumamosi!
Kawaulize waalimu huko kama waliwahi kusikia kitu kinaitwa overtime.. Japo hapa hatuzungumzii mambo ya nights na overtime.Habari wakuu
Hivi ni kwanini wafanyakazi wa Private sector wanatoka sa 11 alf wa serikalini wanatoka sa 9:30
Ni nini kinapelekea wafanyakzi waserikali wawahi kutoka?
Wanajanvi karibuni
Hao wanalipwa overtime?Sio tu private kuna mashirika ya serikali wafanyakazi wanatoka saa 11 jioni.
Unafanya kazi ya duka.Mimi naingia saa mbili asubuhi na ninatoka saa mbili-nne usiku kilasiku.
Standing order inasema ni masaa 45 kwa weekHabari wakuu
Hivi ni kwanini wafanyakazi wa Private sector wanatoka sa 11 alf wa serikalini wanatoka sa 9:30
Ni nini kinapelekea wafanyakzi waserikali wawahi kutoka?
Wanajanvi karibuni
Minimum kwa mtumishi wa umma 45hrs per weekSuala la masaa ya kazi inategemea mwajir na Miongozo yake. Sheria imetoa tu minimum standards, haizui mtumishi kufanya kazi kwa masaa machache zaidi
Habari wakuu
Hivi ni kwanini wafanyakazi wa Private sector wanatoka sa 11 alf wa serikalini wanatoka sa 9:30
Ni nini kinapelekea wafanyakzi waserikali wawahi kutoka?
Wanajanvi karibuni
Habari wakuu
Hivi ni kwanini wafanyakazi wa Private sector wanatoka sa 11 alf wa serikalini wanatoka sa 9:30
Ni nini kinapelekea wafanyakzi waserikali wawahi kutoka?
Wanajanvi karibuni
Sio kweli mm nimfanya kazi serikalini sasa hivi muda huu saa mbili kasoro ndio natoka na saa moja kamili asubuh nipo job...nmazoea ya mtu na utaratibu tu wa kaziHabari wakuu
Hivi ni kwanini wafanyakazi wa Private sector wanatoka sa 11 alf wa serikalini wanatoka sa 9:30
Ni nini kinapelekea wafanyakzi waserikali wawahi kutoka?
Wanajanvi karibuni