[emoji23][emoji23] Hua napata huruma sana nikikutana na watu wa aina hiyo. Nikiona tu vidole vya mikono viko kama vimevikwa ngozi ya pundamilia roho inavurugika kabisa.
Nonsense
Jina ni sauti ambayo watu hutumia wanapo kuhitaji, kiufupi jina halina maana yeyote katika maisha ya mtu tofauti na maana tajwa hapo mwanzo.
Acha kupotosha watu.
Wataalam wetu wanaotumika na serikali yetu washajiaribia reputation kwa kila mara kutoa taarifa zenye walakini. HAWAAMINIKI!!!
Kulingana na maelezo yao hiyo ndege inamiezi 7 haijaruka, na hizo taili bado zina miruko 7.. NI NGUMU KUAMINI.
Unachokiuliza practically hakiwezekani. Ili kujibu swali lako inabidi ueleze unakusudia kugundua nini ili ufanye assumptions kueliminate baadhi ya factors.
Kuna vitu hivi
i, Geothermal gradient
ii, Gravitation field
iii, States of matter ( solid rocky crust, liquid mantle, and solid...
Alivyo andika tu inaonyesha how stupid she is.. What book? What cover?.. Kua binadamu pekee hakutoshi kumfanya mtu asalimiwe, au cover yake ilimwonyesha yeye ni mbuzi?
U can't fight natural forces. Over the years, dunia imepitia vipindi vya baridi kali (ice ages) na vipindi vya joto kali.
Barafu unayoina sasa hasa south na north pole ni masalia ya kipindi cha mwisho cha ice age kilichoisha almost 10k years ago. Sasa tunaelekea kipindi cha joto kali.
Binadamu...
Hivi kwa sababu nchi zilizoendelea maisha magumu basi nasi hatuna budi ku roll-over and take it?...Kuna watu watafanya udhalimu kwa utetezi wa kauli hiyo ulioandika.
Kila nchi inajukumu la kulinda maslai ya wananchi wake, inchi ikishidwa kufanya majukumu yake basi sio nchi tena.
Mzazi wa watoto wa miaka 40 na 50 probably atakua na miaka 68 kwenda juu. Kwanini huyo bibi asingesema hana kumbukumbu ili mambo yaishe?[emoji3][emoji3] yaani umeishi miaka yote hiyo duniani alafu unahangaika na mtu ambae ni stranger.
Miaka ya 40 kwenda juu ni muda wa kuishi vizuri na watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.