Na mimi kuna siku nimepanda mwendokasi kutoka gerezan kwenda kimara, kuna yale magari madogo ambayo wanatangaza ukipanda halishushi mpaka kimara, wao wanayaita bombadier wanaotumia usafiri huu wanajua, basi safari inaanza tu gari linatoa moshi mwingi sana mpaka watu walioko pembezoni mwa...
Issue hapo sio yeye kuwa ngangari, issue ni kwamba wamempiga mchungaji ili kondoo watawanyike, muda atakaokuwa rumande kauli ya no reform inaweza kupotea kama wafuasi wake wasipokuwa na msimamo kama wake
Mi najaribu kujiuliza hivi aliewambia hao wenye magari kuwa abiria wanataka mziki au movie ni nani, wengine tukiwa safarini tunataka utulivu mi naona bora wasiweke kitu chochote pakae kimya tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.