Wanawake wengi wanapenda wanaume wakimya na ambao ni urefu 5'10 na kuendelea!
Mimi ni mkimya na nina nyota ya kupendwa sana na wanawake wa rika tofauti! Na wananipenda kimapenzi zaidi! Ningekuwa kiwembe ningewala sana ila siko hivyo!
Hata kwa as vita walijkfanya kucheza kupasiana pasiana pasi zisizo na tija. Kilichotokea kila mtu anajua. Natabiri mabaya zaidi ya ya kongo kutokea huko misri.
Tatizo pia hata 2akisajiliwa majembe, hawatapata upinzani ktk ligi ya bongo na mwisho wa siku watajikuja wamejirekebisha kuendana na kiwango cha bongo. Wakienda kimataifa vichapo ni pale pale. Ligi mbovu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.