Kiwanja kwa ajili ya makazi chenye ukubwa mita 30 kwa 30 kinauzwa. Kipo eneo la Kibamba, Kibwegere. Bei ni TZS 8m, maelewano yapo. Anayehitaji, ani-pm namba ya simu tuwasiliane.
Kama hujafungua mlango kwa ajili ya YESU na unamaanisha kufanya hivyo. Sali sala hii na atabadilisha maisha yako.
Ee Mungu wangu Mtakatifu. Nimesikia neno lako nami nimeamini. Naomba unisamehe dhambi zangu zote nilizokukosea katika maisha yangu yote. Damu ya Yesu Kristo iliyomwagika kwa ajili...
Nina mtu wangu anatafuta kazi ya IT, ana experience ya miaka 3 na elimu yake ni advanced diploma in Computer Science ila sasa amehamia Dar baada ya kupata makazi ya kudumu. Naomba wana JF msaada wenu.
Hii airline inaelekea kubaya esp. ukiangalia competition inayoingia nchini kwenye industry. Cancellations na delays zimezidi tena taarifa hazitolewi muda wa kutosha (say 3 or 4 hours) kabla ya safari ili watu wajue na kupangilia mambo yao vizuri. Kwa mfano leo, kuna ndege ambayo ilitakiwa...
Details of this vehicle
Year: 2001
Capacity: 1490cc
Kms: 24162 (low mileage)
Will arrive in Dar port on 10 March 2012
Offer price is Tshs 14m - no room for negotiation. Please send me your contact if and only if you're serious buyer.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.