TheImporter
Member
- Oct 13, 2011
- 23
- 2
Wadau naomba details kwa anayejua mshahara ngazi ya PGSS 17-18 ni kiasi gani.
Kiasi gani??pesa ndefu tu
Kiasi gani??
za kujitolea zenyewe ni ishu mfano nimeenda wizara fulani leo nikaonana na afsa utumishi nikamwambia mi nacheki internship tuu ila kaniambia kijana hatuna sera hiyo hapa kwetu na ukisikiwa watakufukuza hapa ofisini,,,, just imaginevijana wa dot.com mna matatizo sana. hata usahili hujaitwa unaulizia pesa. fanya kazi kwanza hata kama ni kwa kujitolea pesa zitakuja.